Belight Technology
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 582
- 122
wabongo hatuishi kulalama
hili ni fundisho na inafundisha jinsi ya kufanya kazi na wabongo,hawaishi kulalama,
1wasingepiga simu ungelalama
2.wamepiga simu umelalama
3.wangetuma sms ungelalama
4.wangetuma mtu kukupa taarifa ungelalama
nini ufanyiwe ili usilalamike?
wampe kazi asilalamike