Dr. Who, kutojua makosa ya Ponda hadi wakati huu, nawe utakuwa sehemu ya tatizo. Pole!
Usitowe lawama Mkuu, nijibu simple question, Kakamatwa kwa kosa gani???????
Dr. Who, kutojua makosa ya Ponda hadi wakati huu, nawe utakuwa sehemu ya tatizo. Pole!
Shekhe ponda ametoroka chini ya ulinzi mkali wa polisi muda huu
Issue sio hivyo. Hawa hawatakiwi kukamatwa.. Watu kama hawa unawapoteza
Shekhe ponda ametoroka chini ya ulinzi mkali wa polisi muda huu
Watu kama Ponda Nyerere alikuwa anawapoteza forever! Jiulize Kassim Hanga yuko wapi?
you are totaly wrong. That is the only option na tena apewe adhabu kali zaidi iwe mfano kwa wengine wenye tabia mbaya kama ya kwake. Tanzania ni nchi isiyokuwa na dini na hatupaswi kulazimisha kila mtu awe muislam au mkristu. Na kama ningekuwa Rais ningekiuka hata katiba na Ponda na wenzie wangepigwa risasi hadharani. I am sorry for this. Mimi ni muislam but najaribu kuangalia future ya watoto wetu katika nchi inayoanza kujifunza mambo ya vurugu zisizo na maana yoyote. Leo misikiti ichomwe au makanisa na kesho nyumba za wakristo au za waislamu. This is unacceptable na serikali naona kama imechelewa sana. Mali ya m700 na zaidi kuchomwa kwa masaa machache watu wamejinyima kuchangia aisee big no. Sheria iende zaidi ya hapo.Kova ni dhehebu gani?
Naona wanamwagia petrol kwenye moto
Kakamatwa kwa makosa gani??
Hata hivyo
wamechelewa, eti uvumilivu umewashinda? Alitakiwa awe ameshakamatwa
zamani na kushtakiwa, it is too late now, kesha mwaga mboga
sasas.
Soma habari nzima nzima utapata jibu la swali lako, usiishie kusoma kichwa cha habari tu.Usitowe lawama Mkuu, nijibu simple question, Kakamatwa kwa kosa gani???????
Watu kama Ponda Nyerere alikuwa anawapoteza forever! Jiulize Kassim Hanga yuko wapi?
Kova ni dhehebu gani?
Naona wanamwagia petrol kwenye moto
QURAN takatifu inasema;
Akatoa mfano wa bedui aliyeingia msikitini na kuanza kukojoa mkojo mbele ya MTUME MUHAMAD (SAW) akasema maswahaba wa MTUME walipotaka kumdhibiti MTUME aliwaambia msifanye hivyo bali wamwache amalizie mkojo wake.
Alipomaliza akawaambia sasa mleteni, Akamwambia kuwa alipokojoa ni msikitini; nyumba ya ibada, nyumba ya mwenyezi Mungu! Baada ya kuelimishwa vizuri yule bedui alikiri nao wakamwacha aendezake salama..HUU NDIO UISLAMU SIO KUCHOMA MAKANISA NA KUHARIBU MAGARI YA WATU AMBAO PIA KUNA WAISLAM TUHESHIMU IMANI ZA WATU NA KUPINGA UDINI KWA NGUVU ZOTE.
Chezeya waislaam wewe subiri Ijumaa wakajazane ujinga wao baada ya swala ya mchana ndo utajua kama serikali inawaheshimu waislam ama inawaogopa.Nimemkumbuka sana rais wangu mpendwa Ndugu Benjamini William Mkapa, hata kama aliharibu mwishoni he will remain to be my icon forever.Enzi zake ushenzi huu wa waislam kujazana upuuzi usingeusikia engewanyosha mpaka wangenyoka
QURAN takatifu inasema;
Akatoa mfano wa bedui aliyeingia msikitini na kuanza kukojoa mkojo mbele ya MTUME MUHAMAD (SAW) akasema maswahaba wa MTUME walipotaka kumdhibiti MTUME aliwaambia msifanye hivyo bali wamwache amalizie mkojo wake.
Alipomaliza akawaambia sasa mleteni, Akamwambia kuwa alipokojoa ni msikitini; nyumba ya ibada, nyumba ya mwenyezi Mungu! Baada ya kuelimishwa vizuri yule bedui alikiri nao wakamwacha aendezake salama..HUU NDIO UISLAMU SIO KUCHOMA MAKANISA NA KUHARIBU MAGARI YA WATU AMBAO PIA KUNA WAISLAM TUHESHIMU IMANI ZA WATU NA KUPINGA UDINI KWA NGUVU ZOTE.
una uhakika kuwa nyerere alimpoteza kassim hanga au umeropoka?