Karibuni masijala
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 409
- 135
Amewataka waliokuwa wafuasi wake waliofanya kazi naye kwa matukio ya kutisha BAKWATA, kuvamia kiwanja yaliyotokea mbagala amesema ni matokeo ya kazi ya taasisi yake. Pia amekamatwa kwa uchochezi Kova amesema uvumilivu kwisha, "Kama tumemkamata ponda kwa mbinu za kijeshi tutashindwa wakina ponda wadogo wajisalimishe msako unaendelea"
Toa maoni ponda kaonewa, Wametatua tatizo au wamezalisha mengine, Nini athari za kukamatwa kwake busara itumike kuziepusha
Toa maoni ponda kaonewa, Wametatua tatizo au wamezalisha mengine, Nini athari za kukamatwa kwake busara itumike kuziepusha