Kova Ameruhusu Maandamano Ya Kuchangia Mradi Wa askofu Gammanywa tar 26/11/2011 !!!!!

Kwa kwaaaaaaaa kwa, teh teh teh, Al Shabab wapo wengi sana Tanzania, Wa kwanza Kinana! Halafu Rage, Bashe, na wale wasomali wote mliocheza nao, soma nao, na wale Wazigua Waliopewa hifadhi pale Mkata. Halafu usisahau vijana wote Wa Tanzania, maana ya Al Shabab ni vijana, jee hakuna vijana Tanzania?

Siku hizi Maaskofu wanafanya michango kwa maandamano? kweli sasa naamini sera za magwanda ni za kanisa.

Ingawa nina maslahi ktk hili, lakini huwa sielewi kwa nini goverment huwa wanawanywea sana viongozi na kanisa kwa ujumla.
 
Hiii nchi ya ajabu sana sijui ni lini hawa watu wanaokabidhiwa madaraka wataacha kukubali kutumiwa ,,,??????????,especial sehemu kama polisi sijui ni lini watakataa kutumiwa na kufanya mambo kama sheria inavyowaelekeza maana wanatumiwa wanaenda enda tu kama maboya wanatumiwa kisiasa ,,,,, tatizo this tanzania kila mtu ni mwanasiasa..... hawamwoni mwenzao magufuli alivyofunguka KWA MWANA KIKWETE AKAMWAMBIA MHESHIMIWA ULINIKABIDHI SHERIA ACHA NITEKELEZE SHERIA....
:A S 465::A S 465::rant:



Ukweli ni kuwa asilimia kubwa ya viongozi ktk Jeshi la polisi ni makada wa ccm.Ndio maana wakistaafu tu Jeshi baadhi yao wanaingia kwenye siasa na kadi zao ni hai je wamekata saa ngapi?maana yake wamo jeshini lakini ni makada wa ccm.Labda mpaka kizazi kipya kiingie Jeshini ndipo wapenda demokrasia watafaidika,vinginevyo maandamano yafanyike kwa nguvu yaani kujitoa muhanga kwa ajili ya kupaza sauti za kutetea haki zetu.
 
Kwa kwaaaaaaaa kwa, teh teh teh, Al Shabab wapo wengi sana Tanzania, Wa kwanza Kinana! Halafu Rage, Bashe, na wale wasomali wote mliocheza nao, soma nao, na wale Wazigua Waliopewa hifadhi pale Mkata. Halafu usisahau vijana wote Wa Tanzania, maana ya Al Shabab ni vijana, jee hakuna vijana Tanzania?

Siku hizi Maaskofu wanafanya michango kwa maandamano? kweli sasa naamini sera za magwanda ni za kanisa.

@FaizaFoxy:
Unajua unashangazaga sana, na anayekulipa kuandika haya unayoandika kweli hakupendi. Yaani sijui unaishi dunia gani, binadamu wa aina gani na ukilala unajifikiria vipi. nina uhakika nafsi yako inakusuta muda mwingine hasa ukilala. Laiti ungeligundua madhara ya vitu unavyoandika, sidhani ungetamani kuishi tena.
 
Back
Top Bottom