Nape nilikutahadharisha mapema, Acha kung'ang'ania kutaka kuvaa koti la Dr. Slaa hukunielewa. Oh Dr.slaa ni fisadi, Dr Slaa akakataa kukuvalisha Koti lake akaamua kukupatia koti jepesi kabisa kutoka kwa Mpendazoe. Looooh, unahema nalo karibia kuzimia, Je Docta wa Ukweli angekuvalisha la kwake si ungekufa?
Docta wa Ukweli alishawavalisha baba zako mpaka leo wanashindwa kulivua na ndilo lililosaidia hata wewe kupata nafasi uliyonayo. Sasa ndugu yangu, ukiweza kulivua la Mpendazoe, utapewa lingine na si la Dr. Slaa usije ukatufia bure.
Docta wa Ukweli alishawavalisha baba zako mpaka leo wanashindwa kulivua na ndilo lililosaidia hata wewe kupata nafasi uliyonayo. Sasa ndugu yangu, ukiweza kulivua la Mpendazoe, utapewa lingine na si la Dr. Slaa usije ukatufia bure.