GunzInTheAir
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 301
- 21
Namna gani hili "Kandambili, Sukumawiki" ni neno moja au mawili?
lililo sahihi ni maneno mawili, inaonekana umeshindwa kujibu. sukumawiki ni neno moja la kujitegemea
Namna gani hili "Kandambili, Sukumawiki" ni neno moja au mawili?
chadema wameibana kila kona ccm..
Umepata, good.:dance::dance::A S 103:lililo sahihi ni maneno mawili, inaonekana umeshindwa kujibu. sukumawiki ni neno moja la kujitegemea
endelea kufurahisha barza.
hayo maneno si mageni kwangu, eti chadema wameibana kila kona ccm, mara chadema wafanya kweli, mara chadema wazoa mamia ya wanachama wa ccm...ikija kwenye uchaguzi chadema chali, tupa kule
hilo ni neno moja au mawili ??
hilo ni neno moja au mawili ??
chadema wameibana kila kona ccm..
Hivi kwenye process ya kuvua gamba kuna side effect za kudevela:bange::bange::bangekulewa)?
hahahaaaaa na ndio kwanza kunakucha.
Kwenye gazeti la Raia Mwema kuna jamaa anajitambulisha kama "Msomaji Raia"
Kwenye gazeti la MwanaHalisi kuna jamaa anajitambulisha kama "Kondo Tutindaga"
Sifa kuu ya hawa waandishi wawili wa magazeti hayo tofauti, ni kuwa wote wanaijua sana CCM.
Sanasana wanamjua sana mwenyekiti wa CHAMA.
Katika wiki hii wote wamezungumzia umuhimu wa "wahaini" wa chama kutemwa,
HApo kwa mbali nikaanza kuona hatima Blaza Nape, nikacheka tu!
Kwa mtazamo wangu nahisi huyo ni mtu mmoja anatumia majina tofauti. Wote walianza kuandika kwenye magazeti husika wakati wa uchaguzi mkuu huyu wa kwa Mwanahalisi alikuwa anajiita mwandishi maalum. Huwa sikosi kuwasoma hawa jamaa kwa sababu huwa nahisi kama anayeandika ni Salim Ahmed Salim, Joseph Butiku, Warioba au Fredrick Sumaye. Ni watu wanoonekana wako karibu sana na wenye "nji hii"
Nape Hamwezi Dr.Slaa Umenena!Hata ingekuwa ni Boxing wakati nape ni Light weight Dr ni Heavy Weight!Sheria za Ndondi Hawapandi Ulingo Mmoja!
Ila Jamani nilwahi sikia Nape Form Six alipataga Division Zero au Nimechanganya Madesa wakuu
Mnirekebishe kama nakosea!
Manake Kunatofauti kubwa sana kati ya Kilaza na Msomi!
Na Ukumbebesha Kilaza Mzigo unamwonea manake mwisha wa siku atumbuka
Walimpa kazi ngumu sana, wakati tayari alikuwa na lana ya Makamba ya kufungiwa Duniani na Mbinguni ukiongeza kuwa hata shule hakuenda basi vurugu tupu!
Walimpa kazi ngumu sana, wakati tayari alikuwa na lana ya Makamba ya kufungiwa Duniani na Mbinguni ukiongeza kuwa hata shule hakuenda basi vurugu tupu!