mkomatembo
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 1,477
- 816
Kuna jamaa yangu/rafiki yangu kipenzi ana hali ngumu nyumbani kwake ikanibidi niamue kuingia JF kusaka msaada wa ki-mawazo,ijumaa jioni jamaa alipotoka kazini alipitia sehemu akapata Bia zake tatu hivyo mpaka anainingia nyumbani iilikuwa kwenye saa mbili na nusu,alipoingia akasalimiana na mkewe akaenda kuoga then akarudi sitting room akimsubiri mkewe amuite kwenye meza tayari kwa chakula,ghafla ikawa kinyume aliyekuja kumuita ni House girl wake, baada ya kumuambia chakula tayari wakati akiondoka yule jamaa akamwambia "siku hizi unanenepa" yule H/girl hakujibu kitu,kumbe mama watoto kamsikia,yaani ugomvi uliozuka hapo mpaka leo hii hawaongei,sasa waungwana wa JF huyu jamaa kakosea wapi?
Hilo ndio kosa lake.