Kosa la huyu mwanaume ni nini?

Preta taratibu
mambo haya mnayalea wenyewe
we mke umekaa jikoni huko unafanya mambo yako au sijui uko wapi unamuachia house gal kuja kuniitia chakula
Sifa nitatoa kwake maana ungekuja mwenyewe ningekupa hiyo sifa wewe na wala nisingemuona house gal kuwa kanenepa
Hapo na akija kesho yake namwambia tena duh una mwanya mzuri hata kama hanao ili uzidi kupasuka
Mnawapa air time wenyewe wakiingia hewani mnaaanza kulalamika
(sorry kuna mtu kaiba paswedi yangu hapa )
kweli hapa naona password imeibiwa sio bure...
 
sawa kabisa....kesho anaanza kumwambia....umenenepa sana hasa hapa....anaanza kumpapasa mananihii....mwee mwee......
ma housegirl wa nini kwanza ....kuna hii preta
526728_10151746522600711_884250710_24574699_1084969853_n.jpg
 
Binadamu wanatofautiana pengine huyo baba hapendi kula mifupa kwasababu yeye ni kibogoyo sasa mama anajua ugojwa wa mumewe ni vilivyonona ataacha kununa
Mi nngekuw huy mmama hat nsinge-mynd,mana cpend unene n hat ctishikag wen my bf akiw amesimam o kumwangalia big fatty assy women!
 
halafu nimeshakugundua wewe.....vitu vingi sana tunaendana.....

Lazima tuwe vile, wewe ni mwanamke mwenye msimamo na mimi ni mwanaume mwenye msimamo...sio yule mwanaume kule anasema eti sababu house girl kamsogezea chakula au kampikia ndo lazima amsifie, hao ndo wanaishia kuoa ma house girl wao badaye.

Wife ni wife tu...lazima apewe heshima yake kakusogezea chakula, kakunua atabakia kuwa wife wako, na house girl kakuletea chakula, kakupikia, au kakucheka atabakia ni house girl :bounce:
 
hahahah mi mke wangu akiona jamaa handsome kwenye tv anamsifia ila mimi nikimsifia binti anazima tv.
 
na nyie wanaume,hebu punguzeni uvivu,aah.kwani kuna shida gani ya kuuliza jee niwasaidie kitu gani,au kama chakula tayari,ningependa kukichukua mwenyewe kukiweka mezani.wewe umetoka kazini,moja kwa moja baa.huyo mke inaonyesha hiyo ni kama sababu tu ya kulalamika.ila ana masononeko mengine.hebu wapeni attention wake zenu,mnatakiwa na nyinyi wanaume mfundwe
 
Hivi kwa mfano jamaa angemwambia huyo house girl kuwa "Siku hizi unakonda...!" bado ingekuwa utata?
 
hapa ndio utajua heshima ya pombe ndio matokeo yake. la pili nyumba zetu zinakosa heshima kwa kuwaweka house girl kuwa ndio wakufanya kila jambo ndani ya nyumba mpaka kufua nguo za ndani za mmeo au hata wewe mke na hapa unaona hakumkaribisha mmewe mezani ndio hayo yote yametokea hapo. turudini kanani tujiulize ni wapi tulikopotea tukatubu.
 
Preta taratibu
mambo haya mnayalea wenyewe
we mke umekaa jikoni huko unafanya mambo yako au sijui uko wapi unamuachia house gal kuja kuniitia chakula
Sifa nitatoa kwake maana ungekuja mwenyewe ningekupa hiyo sifa wewe na wala nisingemuona house gal kuwa kanenepa
Hapo na akija kesho yake namwambia tena duh una mwanya mzuri hata kama hanao ili uzidi kupasuka
Mnawapa air time wenyewe wakiingia hewani mnaaanza kulalamika
(sorry kuna mtu kaiba paswedi yangu hapa )

wewe macho yako yana tamaa ndo maana mkakubaliana kumleta huyo hg kila kitu akifanye yeye huyo hg mmemleta wa nini,huo ni utomvu wa nidhamu isikute hata huna tabia ya kumsifia waifu wako lakini kwa wengine unazimwaga kama njugu.
 
hapa tatizo ni kubwa sana......
kama ni mimi mkewe....nahama nyumbani.....
mwanaume maalun kweli huyo.......

Preta punguza utata...kwani wangapi huwa wankusifia hata mbele ya jamaa...
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom