Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Mwingine huyu!!!
sio mwingine huyu....kwa nini amsifie nikiwa sipo.....alikuwa anamtaka nini.....?
Mwingine huyu!!!
Niko na wewe hapo, mwnaume lazima awe anamipaka kwenye nyumba yake.
safari moja uanza nyingine.
kweli hapa naona password imeibiwa sio bure...Preta taratibu
mambo haya mnayalea wenyewe
we mke umekaa jikoni huko unafanya mambo yako au sijui uko wapi unamuachia house gal kuja kuniitia chakula
Sifa nitatoa kwake maana ungekuja mwenyewe ningekupa hiyo sifa wewe na wala nisingemuona house gal kuwa kanenepa
Hapo na akija kesho yake namwambia tena duh una mwanya mzuri hata kama hanao ili uzidi kupasuka
Mnawapa air time wenyewe wakiingia hewani mnaaanza kulalamika
(sorry kuna mtu kaiba paswedi yangu hapa )
ma housegirl wa nini kwanza ....kuna hii pretasawa kabisa....kesho anaanza kumwambia....umenenepa sana hasa hapa....anaanza kumpapasa mananihii....mwee mwee......
Mi nngekuw huy mmama hat nsinge-mynd,mana cpend unene n hat ctishikag wen my bf akiw amesimam o kumwangalia big fatty assy women!
Lazima tuwe vile, wewe ni mwanamke mwenye msimamo na mimi ni mwanaume mwenye msimamo...sio yule mwanaume kule anasema eti sababu house girl kamsogezea chakula au kampikia ndo lazima amsifie, hao ndo wanaishia kuoa ma house girl wao badaye.halafu nimeshakugundua wewe.....vitu vingi sana tunaendana.....
yewomiii!! Halafu kwa bahati mbaya mke wake amuone, spati picha itakuwaje!sawa kabisa....kesho anaanza kumwambia....umenenepa sana hasa hapa....anaanza kumpapasa mananihii....mwee mwee......
ial kwa nini asimsifie mkewe?
hapa tatizo ni kubwa sana......
kama ni mimi mkewe....nahama nyumbani.....
mwanaume maalun kweli huyo.......
ial kwa nini asimsifie mkewe?
Preta taratibu
mambo haya mnayalea wenyewe
we mke umekaa jikoni huko unafanya mambo yako au sijui uko wapi unamuachia house gal kuja kuniitia chakula
Sifa nitatoa kwake maana ungekuja mwenyewe ningekupa hiyo sifa wewe na wala nisingemuona house gal kuwa kanenepa
Hapo na akija kesho yake namwambia tena duh una mwanya mzuri hata kama hanao ili uzidi kupasuka
Mnawapa air time wenyewe wakiingia hewani mnaaanza kulalamika
(sorry kuna mtu kaiba paswedi yangu hapa )