Hili ni kosa kubwa la kisiasa ambalo Mbowe anataka kulifanya.
Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.
Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.
Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.
Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.
Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.
Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.
Dkt. Slaa kama Lipumba wenye tamaa ya madaraka na waroho wa mali.
Dkt. Slaa aliondoka CHADEMA kwa mbwembwe na kuimiza chadema kimkakati na kiakili.
Hivi sasa baada ya kuona aliopo madarakani sio wa aina yake kaamua kuingia upinzani.
Dkt. Slaa kumrudisha CHADEMA ni kujitafutia kaburi kama alivyofanya lipumba kwa Seif na Alivyofanya Selasini kwa Mbatia.
Dkt. Slaa anatakiwa aachwe atembee na upepo siasa ishampiga mweleka.
Msome kutoka kwa Lipumba na kwa Selasini.