TwendeSasa
Senior Member
- May 24, 2008
- 128
- 116
jamani kuna ukweli wowote kuhusu kuzuiliwa bandarini kontena la chadema lenye KADI,TSHIRT,KOFIA NA BENDERA from China mana nimekuwa nikipita makao makuu kuhitaji baadhi ya vitu naambulia tetesi hizo
kuna ukweli wowote na kama ni kweli kwanini wafanye hivyo
Naomba mnisaidie mana inaniboa sana na kama umegiundua chadema hawagawi kadi kwenye mikutano kama mwanzo wa kampen
kuna ukweli wowote na kama ni kweli kwanini wafanye hivyo
Naomba mnisaidie mana inaniboa sana na kama umegiundua chadema hawagawi kadi kwenye mikutano kama mwanzo wa kampen