Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
Utafiti umethibitisha... Kongosho, will u marry me?
offer + acceptance = binding contractYes, i will marry you.
Utafiti umethibitisha... Kongosho, will u marry me?
offer + acceptance = binding contractYes, i will marry you.
Thank you Uncle... Shakmoo and karibu chai na cakeMwali, Don't you have me, your uncle? You can save me tea....that will keep u busy enough...okay?
Hongera kwa engagement...Naona kama nimetembelewa na karoho ka wivu. Dah!
maji mara moja sio? Maana hata mimi majuzi nilimPM nikamwambia niko samaki samaki wacha aje mbio,konnie bana!Mmh maharage ya mbeya wewe hata humuulizi anakuita uende wapi na kufanya nini?
rejaoooooooooooooo!!!!!Utafiti umethibitisha... Kongosho, will u marry me?
Na weye mbona hujaniamkua? Ntakutia bakora na mkongojo wangu...
Jamani babu... :A S embarassed:Na babuyo umenandalia nini? Si wajua mie napenda vya vuguvugu?
husband naja
Thank you Uncle... Shakmoo and karibu chai na cake
Darling shem, hili ni fukuto la valentine. Hutokea ghafla bin vuum. Ntahitaji ushirikiano wako hasa kwenye maakuli.Darling shem hii ni habari njema... Ila tu nina wasi kama mke mwenzangu kafikishiwa hii habari maana hua twashare kila kitu, Au hizi sikumbili ambazo nilienda spar ndio habari hii umempa?
'dada huyo anaolewa, dada huyo'
mahari bado sijapokea mimi mzaa chema lakini.
Darling shem, hili ni fukuto la valentine. Hutokea ghafla bin vuum. Ntahitaji ushirikiano wako hasa kwenye maakuli.