Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
CCM je, kuna uwakilishi wa chama uliokamilika?Dr.Slaa na Mbowe,ni kwa nini hawa tu?wote wakristo wote kanda ya kaskazini...wamemtumia Prof.Abdallah Safari ili kuuwa udini tu lakini ishu iko pale pale
Hivi Mbowe ana uwezo gani katika mabo ya Sheria?Ndiyo dr.Slaa,najua ni mtaalam wa Canon law lakini bado hakuna uwakilishi wa Chama uliokamilika,bado kuna mapungufu.Haki itawale jamani