CCM wana beep, saa ya ukombozi ni sasa watanzania pandisheni maudhui ya maandamano hakuna sababu ya kupoteza muda any more kama mwenzetu aliyesema itangazwe wazi kwamba maandamano yoyote hata ya kushinikiza uongozi wa leo uachie ngazi ni halali kusiwe na sababu ya kumuomba kibali mtu yoyote yule