nini maana ya kushadadia?
Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini inachuja, ikaja uhaini na sasa pamoja na kushinda eti kwa kishindo wamevunja secraterieti yao wenyewe jiulize mwanakijiji, kweli walishinda? na kama walidangaya je kwa nini tuyaaamini maadai hayo yote juu CDM?
More update pls>>>>>>>
Hivi sasa Kamanda Mbowe ndio anafungua mkutano.
Wabunge walioko ni
1.Mbowe
2.Mnyika
3.Lema
4.Wenje
5.Msigwa
6.Silinde
7.Prof Kahigi
8.Joseph Selasini
9.Esta
10.Naomi
11.Chiku
12.Raya
13.Sabreena
14.Kiwanga
15.Kiwelu
16.Christowaja
17.Christina
18.Pauline
19Mrusha sredi
Where iz Zitto, udhuru gani zis taimu?