Kongamano la CHADEMA Vyuo Vikuu Dodoma

Mada ya Pili ndio imeanza.Hivi sasa Esther Matiko-Mbunge wa Viti Maalum ndio anatoa mada yake ya Uanachama,Falsafa na Itikadi
 
DADA MTENA
hili swala la ZITTO kutokuwepo kweli ni serious matter.. we want to know pleazzzzz
naomba utujibu
 
Wekeni na mada hii Mkutano mwingine mkiandaa: Umhimu wa Wasomi wa Vyuo Vikuu kupata mbinu za kitaalamu katika Kuzomea!
Mjinga siku zote moyoni mwake amejaza ujinga,mawazo yake niya kijinga na hivyo hata akitamka hutamka ujinga,jamii yako inahasara mana ujinga kama wako unaweza ukaona fahari kutoa ushuzi kwenye mkusanyiko wa watu.
 
Wakuu.Habari za Jumapili.

Leo tena tunaendelea na harakati zetu za kujipenyeza na kuwekeza kwa Vijana wa Vyuo Vikuu.Vijana wa CHADEMA Dodoma wameandaa Kongamano kubwa la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Dodoma mabalo linaendelea hivi sasa katika Ukumbi wa African Dream Area D. Mada Kuu katika Kongamano hili ni Vijana Wasomi na Mustakabali wa Taifa.Watoa mada ni Wabunge wa CHADEMA wakiongozwa na Kamanda Freeman Mbowe-Kiongozi wa Upinzani Bungeni(KUB).

Ukumbi umeshajaa na hivi sasa tupo tunasikiliza the Best Speech ya Martin Luther King tukiwa tunamsubiri Mgeni rasmi afungue mkutano.

Picha za Matukio mtazipata tukiwa tunaendelea.

Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke.

Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira.

kamua mwanangu... kamua mpaka kieleweke, wao wanaweka TOT plus na masanja CHADEMA wanaweka hotuba za Martin Luther King and then wanadhani wako level moja

wafundisheni hao CCM kwamba quality and standards are never compromised

Nimefurahi sana aisee, I wish ningekua ukumbini
 
Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini inachuja, ikaja uhaini na sasa pamoja na kushinda eti kwa kishindo wamevunja secraterieti yao wenyewe jiulize mwanakijiji, kweli walishinda? na kama walidangaya je kwa nini tuyaaamini maadai hayo yote juu CDM?
More update pls>>>>>>>
 
Mlengokati, live haimaanishi tukio kuwa kwenye TV au redioni!!! LOL.... Live ni kushuhudia tukio linatokea, mfano ukiwa pembeni mwa barabara na ajali ikatokea na ukaiona basi utakuwa umeioa live, sasa wakati tukio linaendelea unaweza kuwashirikisha rafiki zako kwa simu au video message na wao sasa watasikiliza au kuliona hilo tukio live. Hapo vipi?? LOL

Nashukuru kwa kuelimisha vilaza tulionao humu ndani.yy asha kalilishwa kua LIVE ni kwny tv 2. Japo sina hakika kama kakuelewa maana.....
 
sisi tunawekeza kwenye wasomi wao kwenye
images
wana hadija kopa, na kapt. komba... bila kumsahau makamba... ni viuno tu hadi kwenye katiba!!!
 
DADA MTENA
hili swala la ZITTO kutokuwepo kweli ni serious matter.. we want to know pleazzzzz
naomba utujibu

akujibu kwani yeye ndiye msemaji wa zitto? Mtafute zitto mwenyewe akujibu. Regia mtema naomba usihangaike kujibu swali hilo we piga kazi tu. Thanx
 
Regia congrats for keeping us updated.You are just doing it great.But the pictures plz.pamoja
 
kamua mwanangu... kamua mpaka kieleweke, wao wanaweka TOT plus na masanja CHADEMA wanaweka hotuba za Martin Luther King and then wanadhani wako level moja

wafundisheni hao CCM kwamba quality and standards are never compromised

Nimefurahi sana aisee, I wish ningekua ukumbini

We si umenikimbia?tena hata hujaniaga.Umemiss mambo matamu ile mbaya.Vijana wana ari nzuri sana natamani kama Uchaguzi Mkuu uwe kesho.
 
We si umenikimbia?tena hata hujaniaga.Umemiss mambo matamu ile mbaya.Vijana wana ari nzuri sana natamani kama Uchaguzi Mkuu uwe kesho.
we acha tu... I am sure this was an excellent move by CHADEMA, what remains now is to sustain this wave ya knowledge and awareness ili watanzania wajifunze kwa kupitia vijana wa vyuo

vijana wa vyuo ni ulinzi jamii tosha kwa nchi yoyote ile duniani
 
Big up wapiganaji wote mliopo kwa ukumbi.Mh Regia hilo la kumjibia mh zitto achana nalo bt just jaribuni kumhamasisha ajitahidi kuhudhuria makongamano ya chama,kwn inamuletea sifa icyo nzuri kwa mpiganaji km yeye ambae ni kioo cha vijana tulio wengi.
 
Hivi sasa Kamanda Mbowe ndio anafungua mkutano.

Wabunge walioko ni
1.Mbowe
2.Mnyika
3.Lema
4.Wenje
5.Msigwa
6.Silinde
7.Prof Kahigi
8.Joseph Selasini
9.Esta
10.Naomi
11.Chiku
12.Raya
13.Sabreena
14.Kiwanga
15.Kiwelu
16.Christowaja
17.Christina
18.Pauline
19Mrusha sredi

asante dada Regia,pia baada ya hapo pitieni na dar kuna vyuo vinahitaji muongoza njia kuutafuta uhuru wa taifa letu,hapa napropose mhamasishe ifm,cbe,tia,tumaini,dit, pia mbeya nenda tia,teku,mwanza pitia Saut,cbe n.k. Najua mmetambua njia iliyo sahihi kuwa mabadiliko ya kweli duniani,yan ktk mataifa yaliyohitaji nguvu ya umma yaliwaandaa wanachuo kwanza ili waweze kuleta chachu ktk uamuzi wowote! Hapa nawapa hongera. Naomba mniruhusu niwashangae kuona mnavoitenga dar,kumbukeni bila kuiandaa dar nzima palipo na media coverage italeta ugumu pia. Mwisho,napenda kuwakumbusha pia kuwa ktk kutekeleza dhana ya nguvu ya umma,kumbuka kumiliki media station zikiwa za chama,mfano Tv na redia pamoja na website iliyo hai. Nchi zote zilizochukua nguvu ya umma zilikuwa na media station za uhakika,mfano hata hapo mlipo watanzania wote wangejua kinachojiri! Kwa msomi au researcher wa uhakika anayeelewa full context ya "nguvu ya umma" na chanzo chake hatapata taabu kujua ninachomaanisha. Kumbuka ni ngumu sana kuufika umma au hata nusu ya umma wa Tz ana kwa ana. Nisikuchoche kwa sasa,nakutakia kazi njema ya kuijenga Tanzania mpya!
 
Back
Top Bottom