Kongamano la CHADEMA Vyuo Vikuu Dodoma

acha kumhukumu coz hata slaa hayupo

Just asking, nimemmiss kwenye harakati kama hizi! Mbona mnamjibia sana! Au mnaogopa kuambiwa mwamuonea wivu?

Never mind, CDM ina watu makini kuliko Zitto! We can do without him.
 
Asante kwa Taarifa. Lakini umenishangaza kitu kimoja, kutaja strategy hadharani na huku ukijua fika kuna upinzani. Ilikuwa inatosha kusema tunakutana na vijana wa DOM na si kueleza kirefu kuwa ni mkakati wa kujitanua kwa vijana. Strategy huwa haitajwi wazi hivyo, maana ni kuwaambia watu mnafanya nini ambao ni washindani baadae na wao wanaiba strategy hiyo wanaiboresha kisha mnashindwa kufanikiwa. Ni mangapi mlikuwa mnayaanzisha CCM wanayabeba na kuyatumia kufanikiwa na kuwaacha nyie mkilalalama ohh ilikuwa yetu ile!!!!

hili wala sio jambo la kuficha.Hata humu tulipo wapo baadhi ya wanafunzi ambao ni CCM na wamekuja kujua kunani.Hatujaanza jana kudeal na vyuo vikuu kila chama kinatambua hili.Usiogope
 
zitto anaonekana kukwepa sana mihadhara ya wazi ya ki chama...hivi yupo wapi huyo this time? this is serious busness now dada Regia
 
Asante kwa Taarifa. Lakini umenishangaza kitu kimoja, kutaja strategy hadharani na huku ukijua fika kuna upinzani. Ilikuwa inatosha kusema tunakutana na vijana wa DOM na si kueleza kirefu kuwa ni mkakati wa kujitanua kwa vijana. Strategy huwa haitajwi wazi hivyo, maana ni kuwaambia watu mnafanya nini ambao ni washindani baadae na wao wanaiba strategy hiyo wanaiboresha kisha mnashindwa kufanikiwa. Ni mangapi mlikuwa mnayaanzisha CCM wanayabeba na kuyatumia kufanikiwa na kuwaacha nyie mkilalalama ohh ilikuwa yetu ile!!!!

Mkuu hiyo inaitwa transparency. Katiba mpya si agenda ya ccm wamedandia unaonaje upepo unavyovuma? Siku zote ujiangalie wewe kwanza ukifanya ukiangalia wapinzani hutafanya kitu.

No one will succeed against a genuine intent quote me
 
hili wala sio jambo la kuficha.Hata humu tulipo wapo baadhi ya wanafunzi ambao ni CCM na wamekuja kujua kunani.Hatujaanza jana kudeal na vyuo vikuu kila chama kinatambua hili.Usiogope

Mhemishimiwa mstahiki mbunge that is the spirit another big up (see post 46 on the same thread)
 
Mbowe ameshamaliza na ikafuata na mada kama ratiba inavyoonyesha.

Mada zimegawanyika katika sehemu tatu.
1. Wasomi Vyuo Vikuu Dodoma na Mustakabali wa Taifa ambayo na yenyewe imegawanyika katika sehemu tatu- 1. Siasa,Uzalendo na Maendeleo iliyotolewa na Godbless Lema 2. Dodoma.Kituo muhimu cha Ukombozi wa Tanzania inayotolewa na Christina Lissu hivi sasa. 3. Rasimali za taifa,fursa na Vikwazo itakayotolewa na Wenje.


2. CHADEMA na Mustakabali wa Taifa na yenyewe imegawanyika katika sehemu tatu-1. Uanachama,Falsafa na Itikadi itakayotolewa na Estther Matiko 2. BAVICHA,Nguvu ya Mabadiliko itakayotolewa na Regia Mtema 3. Kuelekea Uchaguzi wa Mitaa 2014 na Uchaguzi Mkuu 2015 itakayotolewa na Susan Kiwanga

3. Katiba Mpya na Mustakabali wa Taifa itakayotolewa na John Mnyika.


Sasa hivi Wenje ndio anatoa mada yake.

it sounds very bold and constructive forum for the the next generation
 
Una amanisha nini kusema Live! Inarusha na kituo cha TV? Au Radio?

Mlengokati, live haimaanishi tukio kuwa kwenye TV au redioni!!! LOL.... Live ni kushuhudia tukio linatokea, mfano ukiwa pembeni mwa barabara na ajali ikatokea na ukaiona basi utakuwa umeioa live, sasa wakati tukio linaendelea unaweza kuwashirikisha rafiki zako kwa simu au video message na wao sasa watasikiliza au kuliona hilo tukio live. Hapo vipi?? LOL
 
Mada ya Kuu ya kwanza imeisha na hivi sasa ni wakati wa majadiliano.Aisee Vijana wanatoa hoja nzito nzito.Hamasa ni kubwa sana hapa.
 
sisi tunawekeza kwenye wasomi wao kwenye
images
 
Mada ya Kuu ya kwanza imeisha na hivi sasa ni wakati wa majadiliano.Aisee Vijana wanatoa hoja nzito nzito.Hamasa ni kubwa sana hapa.
Aaaa dada Regia....unanipandisha stimu mwenzio!....utanifanya nipande ndege sasahivi ili nije
 
Dada wakumbushe kwamba sasahivi duniani ni vijana ndio wanaleta mabadiliko. Kwamwe wasidharau nafasi yao katika TAIFA!
 
Back
Top Bottom