Komba hoi

Inaonyesha huyu mzee anakataga mauno kwelikweli kwenye ile band yake. Anyways mola mlinde kwani si vyema kumwombea mabaya mwanadamu mwenzio.
 
There will be no more of this PEPETA thing....

wabunge.jpg
 
Mi nilijua kaenda kufanyiwa upasuaji ili asilale tena bungeni... anyway Get well soon sir ili uje ushuhudie chama chako kinavyokufa " mgeni amelala mgeni, mgeni.... mgeni huyu mgeni..."

Teh ule ni uzembe hauitaji tiba ya india wala muhimbili!
 
MBUNGE wa Mbinga Magharibi Kepteni mstaafu, John Damian Komba anadaiwa kuwa yuko hoi nchini India alikokwenda kwa ajili ya matibabu, Risasi Mchanganyiko lina mkoba uliojaa habari hii.

Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vimeeleza kuwa Mhe. Komba aliondoka nchini wiki iliyopita.
Komba ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kundi la Sanaa za Maonesho la Tanzania One Theatre (TOT) alikwenda nchini humo kwa ajili ya kucheki afya yake lakini amelazimika kufanyiwa upasuaji wa nyonga baada ya kushauriwa na madaktari.

“Awali alikuwa amekwenda kwa lengo la kuangalia afya yake lakini baada ya kufanyiwa uchunguzi akagundulika kuwa ana matatizo ya nyonga, hivyo akatakiwa kufanyiwa upasuaji haraka sana,” kilisema chanzo chetu kimojawapo.

Mmoja wa ndugu wa karibu na Komba, kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini kwa vile yeye siyo msemaji wa familia, alithibitisha hilo.

Huyu hapa anazungumza: “Ni kweli mzee amekwenda India. Tunashukuru Mungu ameshafanyiwa upasuaji na anaendelea vizuri. Muhimu kwa Watanzania ni kumuombea dua apone haraka

Hapo kwenye nyekundu, kwani ana faida gani hadi aombewe kupona. Aopone ili aendelee kutetea ufisadi siyo? Huo muda wa kumwombea bora watu wakalime mchicha. Watu kama hawa inabidi waombewe kufa tu.
 
Duuuuuh ikitokea aki R.I.P kabla ya 2015 itakuwa ni anguko lingine la CCM kwa kuwa muimbaji na muhamasishaji hatokuwepo tena
 
MBUNGE wa Mbinga Magharibi Kepteni mstaafu, John Damian Komba anadaiwa kuwa yuko hoi nchini India alikokwenda kwa ajili ya matibabu, Risasi Mchanganyiko lina mkoba uliojaa habari hii.

Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vimeeleza kuwa Mhe. Komba aliondoka nchini wiki iliyopita.
Komba ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kundi la Sanaa za Maonesho la Tanzania One Theatre (TOT) alikwenda nchini humo kwa ajili ya kucheki afya yake lakini amelazimika kufanyiwa upasuaji wa nyonga baada ya kushauriwa na madaktari.

“Awali alikuwa amekwenda kwa lengo la kuangalia afya yake lakini baada ya kufanyiwa uchunguzi akagundulika kuwa ana matatizo ya nyonga, hivyo akatakiwa kufanyiwa upasuaji haraka sana,” kilisema chanzo chetu kimojawapo.

Mmoja wa ndugu wa karibu na Komba, kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini kwa vile yeye siyo msemaji wa familia, alithibitisha hilo.

Huyu hapa anazungumza: “Ni kweli mzee amekwenda India. Tunashukuru Mungu ameshafanyiwa upasuaji na anaendelea vizuri. Muhimu kwa Watanzania ni kumuombea dua apone haraka.”


Yaani hata mafua watu wanaenda India tena kinyemela? Nani amuombee akafie mbali huko
 
Nyonga!pole sana muheshimiwa ila cut weight kidogo mkuu si unajua na umri wenyewe nao umekwenda au bado hukubali?hebu mcheki Obama unamuonaje,halafu anaongoza nchi yenye mahela kibao,hebu imagine ingekuwa wewe ndio yeye tehe tehe tehe!
 
aaaaaa,jamani mbona mnene sana?anaonekana afya yake n nzuri sana tu

Kulala lala ovyo na kukoroma bungeni ni ugonjwa mkubwa sana,anatakiwa apasuliwe na kichwa ili warekebishe ubongo wake,hauko sawa kabisa.
 
Hapo kwenye nyekundu, kwani ana faida gani hadi aombewe kupona. Aopone ili aendelee kutetea ufisadi siyo? Huo muda wa kumwombea bora watu wakalime mchicha. Watu kama hawa inabidi waombewe kufa tu.

Naunga mkono hoja 100%.
 
only for checkup amekwenda india?ama kweli kuna watu wanaishi kama wako peponi ktk nchi masikini kama yetu...kumbukeni basi ata kurekebisha miundombinu ili na sisi tusioweza kwenda apolo walau tupate huduma nzuri hapa hapa nyumbani,by the way get well soon.
 
Back
Top Bottom