Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,520
- 93,090
Unafikiri hili jamvi lilianzia kwa ajili ya kampeni za uchaguzi kama ulivyoingia wewe hapa?
Join Date : 18th October 2010
Posts : 1,413
Thanks172Thanked 412 Times in 224 Posts
Rep Power : 23
Na hii ndio maana huna mchango wowote hapa kwa hoja zako badala kuangalia nani kaingia lini na matusi. Kazi uliyoingilia imekwisha bora upunzike hadi Octoba ya 2015 uje tena kwa kazi ileile uliyoingilia hapo mwanzo.
Sawa sawa! Hakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!................lol!