William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Huyu ndio cadena. Yeye yuko na drill nzuri. Lakini hamfanyi kipa kuwa kiongozi wa ulinzi. Hafanyi wapange safu vizuri. Hafanyi kipa afanye maamuzi sahihi kama kutokea mpira, Yeye huwarusha tu makipa na kuwachosha. Toka aje simba makipa wanachoka siku baada ya siku.
Alipokuwa Azam bwana akampiga majungu kocha mkuu. Timu haikufundishika. Timu akaachiwa Ongala. Akashinda mechi 10 kati ya 11. Akaanza majungu wapi? Tff iliposema Ongala hana vyeti akapewa timu. Ila kali awe mwalimu. Hakukubali, akawa front line. Acha timu idundwe.
Anaamimi mazoezi magumu kama timu za Jeshi.
Alipokuwa Azam bwana akampiga majungu kocha mkuu. Timu haikufundishika. Timu akaachiwa Ongala. Akashinda mechi 10 kati ya 11. Akaanza majungu wapi? Tff iliposema Ongala hana vyeti akapewa timu. Ila kali awe mwalimu. Hakukubali, akawa front line. Acha timu idundwe.
Anaamimi mazoezi magumu kama timu za Jeshi.