KIVURUGA Member Jul 13, 2010 23 0 Sep 20, 2013 #1 Wadau naomba mnijuze hii kampuni ya oil ya kobil mishahara yao ikoje.
COURTESY JF-Expert Member Jun 16, 2011 2,006 706 Sep 20, 2013 #2 Don't ask just go for it,always gas company pay handsomely
Jenseny JF-Expert Member Jan 26, 2011 1,743 1,733 Sep 20, 2013 #3 kwan wametangaza nafasi? Wanaopima mafuta na kuosha magari huwaga lak 2
KIVURUGA Member Jul 13, 2010 23 0 Sep 20, 2013 Thread starter #4 hawajatangaza, ila wamenipigia simu niende kwenye interview, nilisahau niliomba lini na position gani sijui
hawajatangaza, ila wamenipigia simu niende kwenye interview, nilisahau niliomba lini na position gani sijui