Du siamini kama most wa ushauri uliotolewa na jinsia ya kiume hapo juu unatatoka miyoyoni mwao.,au., bado wapo wenye mioyo hiyo kama wapo Lihimidiwe.chukua mawazo ya Petcash na Yasitha kukimbia tatizo sio suluhu face it hutapungukiwa kitu maishani,lakini ukilikimbia utapungukiwa coz dhamira itakusuta maishani na usijeshangaa mkeo akija kuwa na kichanga cha miezi 2 maisha yakawavurugikia akaenda kuwa housemaid kumbe laana umeibeba.aliyekwambia kunyonyesha ni kinga ya ukimwi na mimba nani?what if akikwambia umempa mimba?YOU REAP IT THEN........