Please please usimzimie simu, kumbuka huyo dada sasa hivi ana msongo wa mawazo, ushauri wangu kwako kwakuwa wewe ndo umemsababishia matatizo mdada wa watu, mpngishie chumba umlipie kodi ya miezi 6 halafu mwambie afikirie kama kuna biashara anaweza kufanya umpe mtaji aanze kufanya biashara hata kama ni mama ntilie, naamini utakuwa umemsaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.