Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,316
- 7,731
uko soo kind,na mie ni singo maza nije kwako?lol:israel:
Njoo kwangu asee..!
uko soo kind,na mie ni singo maza nije kwako?lol:israel:
ushauri wangu ni kuwa ungemtafutia chumba cha kupangisha huko Mbeya ukamlipia miezi kama 6 (itakuwa kama laki na hamsini tu) then mpe laki ya matumizi for probably a month na umuache kwa amani. !
Finaly jana nlipata courage ya kumwambia ahadi zote za kumuoa ama kumleta dar zilikuwa ni za uongo. Na sasa kimpango wake, akaomba nimtafutie kazi hata ya u house girl tu. So mwenye kuhitaji mschana wa kazi mwenye kichanga cha miezi mi 5 ani pm.
Finaly jana nlipata courage ya kumwambia ahadi zote za kumuoa ama kumleta dar zilikuwa ni za uongo. Na sasa kimpango wake, akaomba nimtafutie kazi hata ya u house girl tu. So mwenye kuhitaji mschana wa kazi mwenye kichanga cha miezi mi 5 ani pm.
Tatizo pa kukaa. Nimemu offer laki 3 akahangaike kivyake kakataa. Na kweli ukipiga hesabu haitoshi. Kodi na kitanda imeisha hata godoro hununui. Bado chakula maana unabaki hata sh kumi huna na jiko tu hununui kwa hiyo hela.