tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,835
- 18,249
DAR IVF & FERTILITY CLINIC
***************
Hili tangazo nimeliona leo maeneo ya Kawe jijini Dar es Salaam. Hii kliniki ni maalum kwa wale watu wenye upungufu wa nguvu za kiume. Kumbe kuna kliniki ya nguvu za kiume hapa halafu watu tunateseka kwenda kwa Kalumanzira kudaiwa pesa lukuki na kuku wa kijani? Siwezi kukubali tena kunyanyaswa na sangoma wakati kuna kliniki ya kutibu nguvu za kiume ya kisasa.
Kama kuna mdau humu aliyewahi kutibiwa kwenye kliniki hii tafadhali tunaomba atupe uzoefu. Je, bei zao zikoje? Na je, mgonjwa anaweza kufanyiwa kipimo cha IVF kwa kutumia mbegu za mtu asiyekuwa mkewe/ mumewe (mchepuko, etc)?
***************
Hili tangazo nimeliona leo maeneo ya Kawe jijini Dar es Salaam. Hii kliniki ni maalum kwa wale watu wenye upungufu wa nguvu za kiume. Kumbe kuna kliniki ya nguvu za kiume hapa halafu watu tunateseka kwenda kwa Kalumanzira kudaiwa pesa lukuki na kuku wa kijani? Siwezi kukubali tena kunyanyaswa na sangoma wakati kuna kliniki ya kutibu nguvu za kiume ya kisasa.
Kama kuna mdau humu aliyewahi kutibiwa kwenye kliniki hii tafadhali tunaomba atupe uzoefu. Je, bei zao zikoje? Na je, mgonjwa anaweza kufanyiwa kipimo cha IVF kwa kutumia mbegu za mtu asiyekuwa mkewe/ mumewe (mchepuko, etc)?