Enny JF-Expert Member May 26, 2009 962 130 Mar 28, 2012 #1 Kiwanja kinauzwa Mabwe Pande , eneo la nusu heka, lina michungwaq, minazi na mipera. bei ni Milion 9m. Kama upo interested - ni PM
Kiwanja kinauzwa Mabwe Pande , eneo la nusu heka, lina michungwaq, minazi na mipera. bei ni Milion 9m. Kama upo interested - ni PM
N Nsuri JF-Expert Member Oct 3, 2011 1,013 558 Mar 29, 2012 #2 Mara hii tu umeanza kuuza kiwanja ulichopewa na serikali??
Enny JF-Expert Member May 26, 2009 962 130 Mar 29, 2012 Thread starter #3 Hiki Kiwanja kipo muda mrefu ndugu yangu, cha serikali kingekuwa na mazao hayo mara hii