Hamna shida bro.Mhhhh hio bei, na huo umbali toka road tanroa hawawez leta shida ?
Upo serious?Chukua 280 chap
Mhuni huyoUpo serious?
.....! Umeweka cha juu kikubwa mno😀Upo serious?
Shida bwana kutatua matatizo. Taja unachoweza kumudu......! Umeweka cha juu kikubwa mno😀
Kiwanja kinauzwa kama ifuatavyo:
i: Mahali kilipo: Kwa bibi barabara ya Tabata/Segerea mita 20 toka barabara kuu.
ii: Eneo: Sqm 1,416
iii. Kina hati: Ndio
iv: Bei: 310m
v: Mawasiliano: +255 755 321 562
View attachment 2935735
Hakijagusa lami ila kipo kando ya barabara ya vumbi inayotoka kwenye lami. Hivyo mbele hakuna plot ingine.KIMEGUSA LAMI? AU MBELE YAKE KUNA PLOT NYINGINE??
Hakuna cha juu trust me. Ni mhusika wa karibu so siwezi kukiwekea cha juu.....! Umeweka cha juu kikubwa mno😀
Ni barabara ya vumbi inaingia ndani inaendelea mbeleHizo mita 20 kutoka barabara kuu pana nini?