Swali hili nawauliza wataalamu wa mazingira NEMC. Je, kiwanda Cha Cement cha Wazo Hill hakina athari kwa afya za wakazi wa maeneo ya Tegeta, Ununio, Boko, Madale, Bunju na Basihaya?
Uchunguzi wangu usio rasmi umebaini nyumba nyingi za maeneo hayo zimeganda vumbi juu ya mabati. Je, Vumbi hili linalo toka juu ya kiwanda Cha wazo halina madhara kwa wakazi wa Madale, Tegeta, Ununio, Basihaya na Boko?
Naomba kujibiwa kitaapamu kutoka NEMC.
Naendelea kufanya utafiti.
kwa sasa nimepiga kambi maeneo ya basihaya.
Uchunguzi wangu usio rasmi umebaini nyumba nyingi za maeneo hayo zimeganda vumbi juu ya mabati. Je, Vumbi hili linalo toka juu ya kiwanda Cha wazo halina madhara kwa wakazi wa Madale, Tegeta, Ununio, Basihaya na Boko?
Naomba kujibiwa kitaapamu kutoka NEMC.
Naendelea kufanya utafiti.
kwa sasa nimepiga kambi maeneo ya basihaya.