For life kama Pope John Paul II
Khaaa! Yamekuwa hayo tena??? Mie nashangaa kila siku waniambia nivae dera kumbe humu jf waawadizainia watu nguo!... Hiyo haikubaliki kama malaria.
Umeonae?Ya nini tabu? kama anajisikia kuvaa jinsi avae, kama kigauni tupia, kama kimini haya, kama dera twende kazi!!! ya nini kujifanya uko hivi na kumbe ni vile?? kesho ndo unakuja kukuona aah sio wewe aliyekutaka ni yule wa siku ileee....lol!!
halafu si huwa tunavaaga kulingana na muda, tukio na mahali pia??? nadahani hata akazingatia hilo tu basi itapunguza tabu!!!
wee ulikuwa wapi jana? ulikuwa na mning'inio???
Password yake ninayo usijali. Akim PM tu amekwisha...ntacopy na kupestia humu jukwaani!halafu mjamaa ni mchoyo eti kaweka vinguo vyake viwili kaona tutagezea sijui kasema anaenda kum PM zinduna!!!!!
mbona ulipotoka na huyo boifrend wa kwanza hukutushirikisha mavazi ya kuvaa? au ndio unatutangazia kuwa umepata mwanaume mwingine? ushauri wangu nenda ukiwa uchi ili akufaidi vizuri!
Umeonae?
Niliwahi kumshuhudia best friend kaachwa kwenye mataa baada ya kujikwatua vilivyo, alijiremba anaenda kwenye apointment kwa mara ya kwanza akaambulia patupu, huezi amini alipita ofisini boss akamwuliza unaenda kwenye harusi au wewe ndie bi harusi? Alipofika kwa jamaa anasema hakumchangamkia kama mwanzoni, wakapata lunch kimya kimya, kabla hajamalza msosi jamaa kamuaga kwa ahadi kuwa atampigia siku ingine!
Thubutu yake jamaa hajampigia tena mpaka leo na kesho....
Jana nilikuwa na mtoko na jamaa ila hajanimwaga!.lol
Khaaa! Magori mbona mkali hivyo??mbona ulipotoka na huyo boifrend wa kwanza hukutushirikisha mavazi ya kuvaa? au ndio unatutangazia kuwa umepata mwanaume mwingine? ushauri wangu nenda ukiwa uchi ili akufaidi vizuri!
Kwel mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe! We inavyoonekana uliachana na Bf wako kisa hilo njemba!
nishaeleza hapo juu, msaada wajameni, nisije tia aibu mwenzenu
Haaaa haaa,Dunia yote hii wapo tu na wengine wengi sema wamejificha!
Mzima lkn mkuu!
bombu..unataka uonekane na wangapi? mimi tayari nimeshakuona...Me mwenyewe nipo hapa hajaniona tuu.
Mimi naona avae kama wewe kwenye hiyo avatar yako...huyo jamaa lazima adate!
Hahahaha! Usiogope Zinduna, jiamini and vaa simple sana!Mbona mnanitisha jamani, mie nilizoea mapenzi ya shule, haya ya kukutana kwenye Mahoteli makubwa mie mgeni nayo
bombu..unataka uonekane na wangapi? mimi tayari nimeshakuona...
Hahahaha! Lolhalafu mjamaa ni mchoyo eti kaweka vinguo vyake viwili kaona tutagezea sijui kasema anaenda kum PM zinduna!!!!!