Kiukweli kuna baadhi ya watu mavazi fulani au sare fulani zinawapendeza na wanatokelezea. Shuhudia wanavyopendeza!

Wanabodi,

Angalizo la uchangiaji: Kuna watu humu wana vijiba vya roho, akitokea mtu akapendeza wao wanakereka au akisifiwa wao wanakereka na kukasirika. Kama wewe ni mmoja wa kundi hili, nakuomba ushia hapa ili huko mbele usikereke.

Kufuatia mimi mwana jf mwenzenu umri wangu umesonga songa, nimefikia level ya kustaafu, hivyo nakuwa sina tena zile mada moto moto au maswali magumu magumu kama enzi zile kijana nikiendesha kipindi cha Kiti Moto.

Kufuatia neno "ukubwa dawa", mimi sasa ni mtu mzima hivyo napandisha mabandiko ya dawa kama bandiko hili.

Declaration of Understanding
Bandiko hili is not for average mind, ni bandiko la ma GT. Ukisoma ukaona nazungumzia mavazi tuu, hiyo ndio level yako ya uelewa, nakushauri don't comment, jipitie tuu uendelee na threads nyingine za size yako, hii itakuwa imekuzidi kimo!.

Pia naomba kukiri, naaandikia kwa members wenye uwezo tofauti tofauti wa uelewa, hivyo ukikutana na bandiko langu ukajiona kama huelewi elewi, nakushauri jipitie zako tuu uendelee na safari yako, maana mabandiko mengine, nawaandikia watoto wa chekechea, wewe wa Ph.D utaishia chaka.

Leo naomba kutoa somo kuhusu mavazi fulani fulani, jee wajua mavazi yanazungumza?. Jee wajua dress code ni kiashiria cha the state of mind ya mvaaji na action anayoweza kufanya?.


Mfano mtu akikukaribisha kwake ukaenda the way utakavyomkuta amevaa utajua amekuitia nini na ni nini kitafuatia.

Wenzetu wazungu wana dress code kabisa ya matukio mbalimbali, kwa matukio serious wana vaa formal dress, yaani kuiambia, na kwa matukio ya kawaida, wanavaa kawaida, yaani casual but smart, sisi wabongo hatuna any specific dress code kwa matukio serious na yale ya kawaida.

Pia aina ya mavazi ni kwa maeneo au matukio fulani, mfano ukienda beach, unavaa beach wear, ukienda church unavaa vazi la heshima na ukitoka out kama ni first date out, usually wadada they dress to kill!.

Leo nimemuona Mama kavaa Combat, kwa jinsi hiyo combat ilivyo mkaa, imemtoa kweli kweli na kumpendezea, hivyo Mama ametokelezea.

Kwa sisi wenye jicho la tatu, hiyo combat ya mama inaongea, only wenye jicho la tatu ndio wanaona, na wenye sikio la tatu ndio wanaweza kusikia hiyo dress code inaongea nini.
View attachment 2011474
Kwa vile macho hayafanani, na kwa vile hakuna taarifa zozote za mama kuwa mjeshi kabla, hivyo wale wenye macho ya kawaida tuu, wakiona hii picha ya amevaa combat, wao wanaona ni mtu tuu wa kawaida yule yule Mama Samia waliyemzoe ila tuu leo amebadilika kwa kuvaa sare za jeshi, lakini sisi wenye jicho la tatu, hatuoni sare tuu tunamuona mtu ambaye ni mjeshi kweli kabisa, ndani ya sare yake, ila kabla ya kuvaa sare za jeshi, hatukumjua, kuwa ni mjeshi mpaka alipovaa sare ya jeshi, kwa jinsi zilivyo mkaa, ndipo macho yetu yamefunguka, kuona na kubaini kumbe ni mjeshi kabisa!.

Zingatia tofauti kati ya mtu asiye mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi na mtu mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi. Asiye mjeshi by nature,
View attachment 2011725
kama huyu, akivaa sare za jeshi anakuwa amevaa tuu sare,
Lakini mtu mjeshi by nature, hata kama sio mwanajeshi, akivaa sare za jeshi, anakuwa ni mwake mwake!, huyu ni jeshi kama huyu
View attachment 2011739

Hata huyu Mzee wetu
3001226_nYERERE_COMBAT.jpeg

Mwalimu Nyerere, alikuwa mjeshi.
View attachment 2011753
Naomba kutoa onyo kwa wale wenzangu na mimi waliozoea, rais ikitokea upande ule, wa ma ustaadhi, basi wanajiachia na kupanga kufanya au kuleta ile michezo michezo yao!. Kama hata baada ya kusoma hapa na kumjua ni mjeshi na kama wanaweza kumletea mchezomchezo mjeshi...endeleeni ila msilalamike kuwa hamkujua, au hamkuambiwa, mlidhani ni sare tuu za jeshi! hii ni taarifa kwenu kuwa sio sare tuu!, msithubutu, na mkithubutu, shauri yenu!. Mimi mwenzenu Paskali Mayalla, japo wengi humu mnanifahamu kama mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, wengi humu wasicho kijua kuhusu mimi, kabla ya uandishi wa habari nilikuwa mjeda from JKT straight to JWTZ!. Chezea vitu vingine vyote ila geshi, usichezee kabisa!. Chezea watu wengine wote, ila Wajeda usichezee kabisa. Kazi ya jeshi ni moja tuu... "zikimkosa mbili...utaandika maelezo"!.

Kwa wale wenzangu na mimi wasio na uwezo wa kuisikia sauti ya mavazi fulani, this is a very loud and clear signál she is a very serious person, she is no nonsense lady, sio mtu wa kuletea mchezo mchezo, hivyo huu ni ujumbe mzito loud and clear kwa wote wanaopanga kuleta au kufanya mambo yao ya ile michezo michezo yao ya ajabu ajabu, before they do, they better think twice, and if possible waache kabisa!. kama hapo mwanzo iliyokuwa "hapa kazi tuu" naona sasa kuna relaxation mood na laxity ya watu ku relax na kuanza kuleta tena ile michezo michezo..., hii dress code ya leo inaniambia ile slogan ya "hapa kazi tuu", inaendelea kwa "kazi iendelee".

Paskali

View attachment 2011746
Maisha yanakwenda mbio sana leo hii wewe ndiye unaandika haya
Maneno ya wahenga kuwa heri ya Mbwa aliye hai kuliko Simba aliyekufa.
Mungu akusaidie utazame ulikotoka ujue unaenda wapi ?
pole sana taifa limepoteza mtu mahili na mhimu kama wewe Siasa za Afrika hapana Pascal Mayalla
 
Bandiko zuri kwa wenye uwezo mkubwa wa kuelewa. Nashangaa mnamtukania nini mkuu Pascal Mayalla
Mkuu Ngariba1 , hii ndio jf yetu ya kisasa, wale ma GT wa enzi zile siku hizi hawapo, ukipandisha bandiko linalomuhitaji msomaji to think, unaishia kutukanwa kama kwenye bandiko hili.
Hii jf ya sasa full of vilazaz sijui tunakwenda wapi?!.

Mimi nimejitolea kuwa ticha humu, kuwafunza madogo humu, how to think.
P
 
Kuna kesi ya Mbowe nilitegemea ushushe nondo kama mwanasheria na mwandishi wa habari mwandamizi lakini siku hizi huna tofauti na Kibajaji au Ndugai

Ni mjinga tu anaweza fanya hivyo. Kesi iko mahakamani. Hujui kushoto na kulia wana silaha gani. Unazungumzia ili iweje na kwa manufaa ya Nani.

Kesi ikiisha na mtu Ana facts anaweza Sema neno. Lazima mwenye akili aone mbali. Wewe unamshauri apige majungu ili Basi upate faraja. Akitoa maoni tofauti na mawazo yako utamponda. That’s why you people ni bundle of contradictions.
 
Imeisha hiyo hakuna mtu wakurushia tena mifupa .
Huo ndio ukweli mchungu mkuu kama wakukaya mwenyewe alishindwa akaishia kusema kwetu Mayalla ni njaa sembuse Mkojani amwinue??Mavazi tena ya jeshi wengi wenye mawazo ya udikteta wanavaa sio kwa kupenda ila kama nembo ya kutisha watu kama alivyokuwa mwendazake rudi lkwa kikwete ambae alikuwa mwanajeshi kabla kama alishawahi kujisherehesha na minguo kama hiyo.
 
Ni mjinga tu anaweza fanya hivyo. Kesi iko mahakamani. Hujui kushoto na kulia wana silaha gani. Unazungumzia ili iweje na kwa manufaa ya Nani.

Kesi ikiisha na mtu Ana facts anaweza Sema neno. Lazima mwenye akili aone mbali. Wewe unamshauri apige majungu ili Basi upate faraja. Akitoa maoni tofauti na mawazo yako utamponda. That’s why you people ni bundle of contradictions.
Hivi akina mama mbona siku hizi mmekuwa wababe sn
 
Huo ndio ukweli mchungu mkuu kama wakukaya mwenyewe alishindwa akaishia kusema kwetu Mayalla ni njaa sembuse Mkojani amwinue??Mavazi tena ya jeshi wengi wenye mawazo ya udikteta wanavaa sio kwa kupenda ila kama nembo ya kutisha watu kama alivyokuwa mwendazake rudi lkwa kikwete ambae alikuwa mwanajeshi kabla kama alishawahi kujisherehesha na minguo kama hiyo.
Nakuunga mkono mzee
 
Huo ndio ukweli mchungu mkuu kama wakukaya mwenyewe alishindwa akaishia kusema kwetu Mayalla ni njaa sembuse Mkojani amwinue??Mavazi tena ya jeshi wengi wenye mawazo ya udikteta wanavaa sio kwa kupenda ila kama nembo ya kutisha watu kama alivyokuwa mwendazake rudi lkwa kikwete ambae alikuwa mwanajeshi kabla kama alishawahi kujisherehesha na minguo kama hiyo.
Hata chenkapa sikuwahi kumuona ametinga hiyo kitu
 
Wanabodi,

Angalizo la uchangiaji: Kuna watu humu wana vijiba vya roho, akitokea mtu akapendeza wao wanakereka au akisifiwa wao wanakereka na kukasirika. Kama wewe ni mmoja wa kundi hili, nakuomba ushia hapa ili huko mbele usikereke.

Kufuatia mimi mwana jf mwenzenu umri wangu umesonga songa, nimefikia level ya kustaafu, hivyo nakuwa sina tena zile mada moto moto au maswali magumu magumu kama enzi zile kijana nikiendesha kipindi cha Kiti Moto.

Kufuatia neno "ukubwa dawa", mimi sasa ni mtu mzima hivyo napandisha mabandiko ya dawa kama bandiko hili.

Declaration of Understanding
Bandiko hili is not for average mind, ni bandiko la ma GT. Ukisoma ukaona nazungumzia mavazi tuu, hiyo ndio level yako ya uelewa, nakushauri don't comment, jipitie tuu uendelee na threads nyingine za size yako, hii itakuwa imekuzidi kimo!.

Pia naomba kukiri, naaandikia kwa members wenye uwezo tofauti tofauti wa uelewa, hivyo ukikutana na bandiko langu ukajiona kama huelewi elewi, nakushauri jipitie zako tuu uendelee na safari yako, maana mabandiko mengine, nawaandikia watoto wa chekechea, wewe wa Ph.D utaishia chaka.

Leo naomba kutoa somo kuhusu mavazi fulani fulani, jee wajua mavazi yanazungumza?. Jee wajua dress code ni kiashiria cha the state of mind ya mvaaji na action anayoweza kufanya?.


Mfano mtu akikukaribisha kwake ukaenda the way utakavyomkuta amevaa utajua amekuitia nini na ni nini kitafuatia.

Wenzetu wazungu wana dress code kabisa ya matukio mbalimbali, kwa matukio serious wana vaa formal dress, yaani kuiambia, na kwa matukio ya kawaida, wanavaa kawaida, yaani casual but smart, sisi wabongo hatuna any specific dress code kwa matukio serious na yale ya kawaida.

Pia aina ya mavazi ni kwa maeneo au matukio fulani, mfano ukienda beach, unavaa beach wear, ukienda church unavaa vazi la heshima na ukitoka out kama ni first date out, usually wadada they dress to kill!.

Leo nimemuona Mama kavaa Combat, kwa jinsi hiyo combat ilivyo mkaa, imemtoa kweli kweli na kumpendezea, hivyo Mama ametokelezea.

Kwa sisi wenye jicho la tatu, hiyo combat ya mama inaongea, only wenye jicho la tatu ndio wanaona, na wenye sikio la tatu ndio wanaweza kusikia hiyo dress code inaongea nini.
View attachment 2011474
Kwa vile macho hayafanani, na kwa vile hakuna taarifa zozote za mama kuwa mjeshi kabla, hivyo wale wenye macho ya kawaida tuu, wakiona hii picha ya amevaa combat, wao wanaona ni mtu tuu wa kawaida yule yule Mama Samia waliyemzoe ila tuu leo amebadilika kwa kuvaa sare za jeshi, lakini sisi wenye jicho la tatu, hatuoni sare tuu tunamuona mtu ambaye ni mjeshi kweli kabisa, ndani ya sare yake, ila kabla ya kuvaa sare za jeshi, hatukumjua, kuwa ni mjeshi mpaka alipovaa sare ya jeshi, kwa jinsi zilivyo mkaa, ndipo macho yetu yamefunguka, kuona na kubaini kumbe ni mjeshi kabisa!.

Zingatia tofauti kati ya mtu asiye mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi na mtu mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi. Asiye mjeshi by nature,
View attachment 2011725
kama huyu, akivaa sare za jeshi anakuwa amevaa tuu sare,
Lakini mtu mjeshi by nature, hata kama sio mwanajeshi, akivaa sare za jeshi, anakuwa ni mwake mwake!, huyu ni jeshi kama huyu
View attachment 2011739

Hata huyu Mzee wetu
3001226_nYERERE_COMBAT.jpeg

Mwalimu Nyerere, alikuwa mjeshi.
View attachment 2011753
Naomba kutoa onyo kwa wale wenzangu na mimi waliozoea, rais ikitokea upande ule, wa ma ustaadhi, basi wanajiachia na kupanga kufanya au kuleta ile michezo michezo yao!. Kama hata baada ya kusoma hapa na kumjua ni mjeshi na kama wanaweza kumletea mchezomchezo mjeshi...endeleeni ila msilalamike kuwa hamkujua, au hamkuambiwa, mlidhani ni sare tuu za jeshi! hii ni taarifa kwenu kuwa sio sare tuu!, msithubutu, na mkithubutu, shauri yenu!. Mimi mwenzenu Paskali Mayalla, japo wengi humu mnanifahamu kama mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, wengi humu wasicho kijua kuhusu mimi, kabla ya uandishi wa habari nilikuwa mjeda from JKT straight to JWTZ!. Chezea vitu vingine vyote ila geshi, usichezee kabisa!. Chezea watu wengine wote, ila Wajeda usichezee kabisa. Kazi ya jeshi ni moja tuu... "zikimkosa mbili...utaandika maelezo"!.

Kwa wale wenzangu na mimi wasio na uwezo wa kuisikia sauti ya mavazi fulani, this is a very loud and clear signál she is a very serious person, she is no nonsense lady, sio mtu wa kuletea mchezo mchezo, hivyo huu ni ujumbe mzito loud and clear kwa wote wanaopanga kuleta au kufanya mambo yao ya ile michezo michezo yao ya ajabu ajabu, before they do, they better think twice, and if possible waache kabisa!. kama hapo mwanzo iliyokuwa "hapa kazi tuu" naona sasa kuna relaxation mood na laxity ya watu ku relax na kuanza kuleta tena ile michezo michezo..., hii dress code ya leo inaniambia ile slogan ya "hapa kazi tuu", inaendelea kwa "kazi iendelee".

Paskali

View attachment 2011746
Sina neno lkn P
 
Hv mwendazake alipoamaanisha Mayala ni njaa ilikuwa kweli au fix zake tu???
Mungu amuweke pema peponi, alichosema ni kweli, ila lugha ya Kiswahili ina upungufu wa vocabulari.
Mayalla maana yake ni baa la njaa, lilisobabishwa na ukame, yaani drought caused by famine, kwa kiswahili sani ni ukame na sio njaa.
Watu wakatafsiri ni njaa ya tumbo inayohitaji shibe ya mlo!. Kiukweli kauli nyingine huumba, baada ya kauli ile, tenda zangu zote za matangazo zilifutwa, ofisi ya PPR, ilikuwa eneo la mjini kati, nikilipia pango la zaidi ya mshahara wa DC kila mwezi!. Nilikuwa nimeajiri vijana 20, jumla ya mishahara yao, ilitosha kuwalipa mshahara wa mwaka mzima ma RC -3, Wakurugenzi 2, na ma DC 5!. Baada ya kuitwa njaa, njaa kweli ikanimbelea.
P
 
Wanabodi,

Angalizo la uchangiaji: Kuna watu humu wana vijiba vya roho, akitokea mtu akapendeza wao wanakereka au akisifiwa wao wanakereka na kukasirika. Kama wewe ni mmoja wa kundi hili, nakuomba ushia hapa ili huko mbele usikereke.

Kufuatia mimi mwana jf mwenzenu umri wangu umesonga songa, nimefikia level ya kustaafu, hivyo nakuwa sina tena zile mada moto moto au maswali magumu magumu kama enzi zile kijana nikiendesha kipindi cha Kiti Moto.

Kufuatia neno "ukubwa dawa", mimi sasa ni mtu mzima hivyo napandisha mabandiko ya dawa kama bandiko hili.

Declaration of Understanding
Bandiko hili is not for average mind, ni bandiko la ma GT. Ukisoma ukaona nazungumzia mavazi tuu, hiyo ndio level yako ya uelewa, nakushauri don't comment, jipitie tuu uendelee na threads nyingine za size yako, hii itakuwa imekuzidi kimo!.

Pia naomba kukiri, naaandikia kwa members wenye uwezo tofauti tofauti wa uelewa, hivyo ukikutana na bandiko langu ukajiona kama huelewi elewi, nakushauri jipitie zako tuu uendelee na safari yako, maana mabandiko mengine, nawaandikia watoto wa chekechea, wewe wa Ph.D utaishia chaka.

Leo naomba kutoa somo kuhusu mavazi fulani fulani, jee wajua mavazi yanazungumza?. Jee wajua dress code ni kiashiria cha the state of mind ya mvaaji na action anayoweza kufanya?.


Mfano mtu akikukaribisha kwake ukaenda the way utakavyomkuta amevaa utajua amekuitia nini na ni nini kitafuatia.

Wenzetu wazungu wana dress code kabisa ya matukio mbalimbali, kwa matukio serious wana vaa formal dress, yaani kuiambia, na kwa matukio ya kawaida, wanavaa kawaida, yaani casual but smart, sisi wabongo hatuna any specific dress code kwa matukio serious na yale ya kawaida.

Pia aina ya mavazi ni kwa maeneo au matukio fulani, mfano ukienda beach, unavaa beach wear, ukienda church unavaa vazi la heshima na ukitoka out kama ni first date out, usually wadada they dress to kill!.

Leo nimemuona Mama kavaa Combat, kwa jinsi hiyo combat ilivyo mkaa, imemtoa kweli kweli na kumpendezea, hivyo Mama ametokelezea.

Kwa sisi wenye jicho la tatu, hiyo combat ya mama inaongea, only wenye jicho la tatu ndio wanaona, na wenye sikio la tatu ndio wanaweza kusikia hiyo dress code inaongea nini.
View attachment 2011474
Kwa vile macho hayafanani, na kwa vile hakuna taarifa zozote za mama kuwa mjeshi kabla, hivyo wale wenye macho ya kawaida tuu, wakiona hii picha ya amevaa combat, wao wanaona ni mtu tuu wa kawaida yule yule Mama Samia waliyemzoe ila tuu leo amebadilika kwa kuvaa sare za jeshi, lakini sisi wenye jicho la tatu, hatuoni sare tuu tunamuona mtu ambaye ni mjeshi kweli kabisa, ndani ya sare yake, ila kabla ya kuvaa sare za jeshi, hatukumjua, kuwa ni mjeshi mpaka alipovaa sare ya jeshi, kwa jinsi zilivyo mkaa, ndipo macho yetu yamefunguka, kuona na kubaini kumbe ni mjeshi kabisa!.

Zingatia tofauti kati ya mtu asiye mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi na mtu mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi. Asiye mjeshi by nature,
View attachment 2011725
kama huyu, akivaa sare za jeshi anakuwa amevaa tuu sare,
Lakini mtu mjeshi by nature, hata kama sio mwanajeshi, akivaa sare za jeshi, anakuwa ni mwake mwake!, huyu ni jeshi kama huyu
View attachment 2011739

Hata huyu Mzee wetu
3001226_nYERERE_COMBAT.jpeg

Mwalimu Nyerere, alikuwa mjeshi.
View attachment 2011753
Naomba kutoa onyo kwa wale wenzangu na mimi waliozoea, rais ikitokea upande ule, wa ma ustaadhi, basi wanajiachia na kupanga kufanya au kuleta ile michezo michezo yao!. Kama hata baada ya kusoma hapa na kumjua ni mjeshi na kama wanaweza kumletea mchezomchezo mjeshi...endeleeni ila msilalamike kuwa hamkujua, au hamkuambiwa, mlidhani ni sare tuu za jeshi! hii ni taarifa kwenu kuwa sio sare tuu!, msithubutu, na mkithubutu, shauri yenu!. Mimi mwenzenu Paskali Mayalla, japo wengi humu mnanifahamu kama mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, wengi humu wasicho kijua kuhusu mimi, kabla ya uandishi wa habari nilikuwa mjeda from JKT straight to JWTZ!. Chezea vitu vingine vyote ila geshi, usichezee kabisa!. Chezea watu wengine wote, ila Wajeda usichezee kabisa. Kazi ya jeshi ni moja tuu... "zikimkosa mbili...utaandika maelezo"!.

Kwa wale wenzangu na mimi wasio na uwezo wa kuisikia sauti ya mavazi fulani, this is a very loud and clear signál she is a very serious person, she is no nonsense lady, sio mtu wa kuletea mchezo mchezo, hivyo huu ni ujumbe mzito loud and clear kwa wote wanaopanga kuleta au kufanya mambo yao ya ile michezo michezo yao ya ajabu ajabu, before they do, they better think twice, and if possible waache kabisa!. kama hapo mwanzo iliyokuwa "hapa kazi tuu" naona sasa kuna relaxation mood na laxity ya watu ku relax na kuanza kuleta tena ile michezo michezo..., hii dress code ya leo inaniambia ile slogan ya "hapa kazi tuu", inaendelea kwa "kazi iendelee".

Paskali

View attachment 2011746
Dressing code ya mafundi mchundo na mainjinia ni helmet na ovaroli. What is the state of our minds?
😀😀😀
 
Dressing code ya mafundi mchundo na mainjinia ni helmet na ovaroli. What is the state of their minds?
😀😀😀
Mtu yoyote anapochukua tahadhari ya jambo lolote, his/her state of mind is insecurity, hivyo anavaa protective gear kujilinda. Hata kuvaa zana ni kujilinda, kuvaa barakoa ni kujilinda, kuvaa helmet ni kujilinda, hivyo any protective gear inampa mvaaji a sense of safety and security, hivyo kutimiza wajibu wake akiwa anajisikia safe.
P
 
Mtu yoyote anapochukua tahadhari ya jambo lolote, his/her state of mind is insecurity, hivyo anavaa protective gear kujilinda. Hata kuvaa zana ni kujilinda, kuvaa barakoa ni kujilinda, kuvaa helmet ni kujilinda, hivyo any protective gear inampa mvaaji a sense of safety and security, hivyo kutimiza wajibu wake akiwa anajisikia safe.
P
Mkuu ni kwa nini ukitoa mada baadhi ya watu wana mitazamo hasi juu yako

Nini kipi hasa ulichowakosea maana nimekuwa ufuatiliaji wa mada zako kwa muda sasa naomba majibu yako tafadhali natanguliza
Pic%20Layer_2021111311215721.jpg
 
Mkuu ni kwa nini ukitoa mada baadhi ya watu wana mitazamo hasi juu yako

Nini kipi hasa ulichowakosea maana nimekuwa ufuatiliaji wa mada zako kwa muda sasa naomba majibu yako tafadhali natanguliza View attachment 2015283
Imetokea tuu watu hatufanani, sisi wengine tumejikuta tuna damu ya kunguni, hivyo kubezwa humu jf, ni kitu cha kawaida. Kama hata Mkuu wa nchi humu anabezwa mwanzo mwisho, who M, I nisibezwe?.
P
 
Back
Top Bottom