Kiufupi suala la kupigwa risasi Tundu Lissu ndo chanzo cha awamu ya Tano kuchukiwa nchi nzima

Lkn ndicho kinachoendelea kwa sasa, isitoshe kuna wengi ambao Tundu Lisu mwenyewe aliwataja kwa majina kuhusika na wengine wameshafukuzwa kazi na power that be, kwa nini Tundu Lisu hawashitaki ? Kwani Serikali haiwezi kuwatetea kwa kuwa Serikali ni anti Magu, hata mambo ya kuleta sijui wachunguzi wa kimataifa sasa hivi ndiyo wakati muafaka kwa nini hawafanyi kama wana un-do kila alichofanya Magufuli hata kumdhalilisha mbele ya foreigners, iweje washindwe kumhukumu kwa kuhusika kwake na tukio ? Shida iko wapi ?

Alipokuwa hai tuliambiwa Serikali inazuia uchunguzi sasa Maadui wa Magu ni Serikali kwa nini kimya ?

..serikali ndiyo yenye mamlaka ya kuleta wachunguzi toka nje.

..sasa inabidi tuihoji awamu ya 6 kwanini haileti wachunguzi hao, au kwanini haichunguzi kabisa?

..ukiniuliza mimi nitakwambia ni kwasababu awamu ya 6 haitaki kuingia ktk ugomvi mkubwa na watu wa awamu ya 5.

..kuna makaburi na madudu ya awamu ya 4 ambayo Magufuli hakutaka kuyafumua.

..Pia kuna makaburi na madudu ya awamu ya Magufuli ambayo Samia anakwepa kuyafukua.

..Suala la shambulizi dhidi ya Tundu Lissu ni moja ya mambo ambayo awamu ya 6 itakwepa kushughulika nalo ili kuisitiri awamu ya 5.
 
Well, sijui wacha tusubiri kwani hao mnaosema waliondoa kamera wameshafukuzwa kazi na Serikali hii Moyà hivyo mnaweza kuwashitaki shida iko wapi ?

..ni tukio la JINAI na sheria inaelekeza kwamba jamhuri ndio yenye jukumu la kuchunguza na kushitaki.
 
Lkn ndicho kinachoendelea kwa sasa, isitoshe kuna wengi ambao Tundu Lisu mwenyewe aliwataja kwa majina kuhusika na wengine wameshafukuzwa kazi na power that be, kwa nini Tundu Lisu hawashitaki ? Kwani Serikali haiwezi kuwatetea kwa kuwa Serikali ni anti Magu, hata mambo ya kuleta sijui wachunguzi wa kimataifa sasa hivi ndiyo wakati muafaka kwa nini hawafanyi kama wana un-do kila alichofanya Magufuli hata kumdhalilisha mbele ya foreigners, iweje washindwe kumhukumu kwa kuhusika kwake na tukio ? Shida iko wapi ?

Alipokuwa hai tuliambiwa Serikali inazuia uchunguzi sasa Maadui wa Magu ni Serikali kwa nini kimya ?
Lkn ndicho kinachoendelea kwa sasa, isitoshe kuna wengi ambao Tundu Lisu mwenyewe aliwataja kwa majina kuhusika na wengine wameshafukuzwa kazi na power that be, kwa nini Tundu Lisu hawashitaki ? Kwani Serikali haiwezi kuwatetea kwa kuwa Serikali ni anti Magu, hata mambo ya kuleta sijui wachunguzi wa kimataifa sasa hivi ndiyo wakati muafaka kwa nini hawafanyi kama wana un-do kila alichofanya Magufuli hata kumdhalilisha mbele ya foreigners, iweje washindwe kumhukumu kwa kuhusika kwake na tukio ? Shida iko wapi ?

Alipokuwa hai tuliambiwa Serikali inazuia uchunguzi sasa Maadui wa Magu ni Serikali kwa nini kimya ?
Ndugu yangu, ukijisaidia kisimani leo kesho take ukafariki dunia, ikatokea mtu akasema marehemu alikunya kisimani enzi za uhai wake, haitakuwa sahihi kumtuhumu huyo mtu kwa kumuita adui wa marehemu.
Hilo la ku un do kila la magu ni tatizo la serekali za ccm, raid gani ka un do ya watangulizi wake kama magufuli?- ktk hili sasa uanze kuwaelewa wanaodai mabadiliko ya mifumo ya uonfozi (katiba mpya?) Otherwise tuendelee kupuyanga kila anapoingia rais mpya, utadhani ndo tumepata Uhuru kupitia yeye.
 
Lkn Jamhuri sasa hivi ni anti - Magu, hivyo hakupaswi kuwa na kikwazo tena …

..is it 100% anti-magu, au wanachagua ku-deal na vikesi vidogo vidogo, huku wakiacha mambo makubwa?

..kuna watu walisema awamu ya 5 ni anti-kikwete, je Magu ali-deal na uozo unaomgusa Kikwete au walishtakiwa waliokuwa pembezoni?

..Kwa mfano, kwanini Magu haku-deal na wahusika waliosomba fedha za escrow?

..Suala hili ni fedheha kwa nchi, sio fedheha kwa Magu peke yake.

..Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani bungeni kushambuliwa ktk eneo la serikali,wanapoishi naibu spika, na mawaziri, ni aibu kwa serikali na nchi kwa ujumla.

..Serikali kushindwa kuwakamata waliohusika ni aibu kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

..Kwenye nchi za wenzetu hiyo ni security breach ambayo hupelekea wakuu ktk vyombo vya ulinzi na usalama kupoteza nyadhifa zao.
 
Mambo yote ya awamu ya Tano yanaonekana kama hakuna cha maana kilichofanyika na chanzo kikubwa ni jaribio la mauaji kwa Tundu Lissu.

Kwa kuhitimisha hakuna legacy yeyote iliyoachwa na Mwanazake.
Lakini huyo tungu lissu alirudi na kugombea uraisi kwenye kampeni hivyo magufuli katakasika kwenye ilo
 
Huna akili kabisa, huyo msaliti Lisu alishindwa hadi na Lazaro Nyalandu kwenye kura za maoni za Chadema
Dogo, uwe unachuja maandishi Yako! Na Kama chujio la ubongo wako limetoboka sema usaidiwe! Hakuna asiye na akili humu labda Kama unajisemea tatizo ulilonalo!
Wewe siyo mwanacdm, hayo ya nyalandu kumshinda Lissu uliyashuhudia au ni hizo hear say za kijiweni kwenu lumumba? Weka basi ushahidi wa idadi ya kura Kwa Kila mmoja ueleweke! Na usaliti wa Lissu uko na ushahidi tuone? Learn to argue with evidence na acha kuropoka kwani jf siyo mahali sahihi Sana Kwa watu wa aina Yako!
 
Huyo Tundu Lisu wako alikuja kugombea na hakupata hata kura millioni 2.

Lofa ,zee la MIGA alidhani watanzania ni wajinga watachagua msaliti.
2020 palikuwa na uchaguzi kweli? Hivi mkuu hata uelewa wako wa kawaida kabisa uchaguzi ulifanyika kwa njia ya haki japo kwa asilimia 10? 2020 kilikuwa ni kituko cha tangu uhuru hata wanaccm wenye uelewa huwa wanazungumza kwa uwazi kabisa.
 
Kama ni kweli Tundu Lisu alipigwa risasi kwa amri ya Magufuli kwa nini sasa hawaweki ushahidi mezani ili kummaliza kabisa ? Tunaona wanaomchukia Magufuli wote sasa wana power kuanzia chamani mpaka Serikalini na wanajaribu kwa kila hali kummaliza chochote alichofanya, sasa kwa nini wasiweke wazi kwamba Magufuli alihusika na kuwashitaki Mahakamani wahusika kwa maana wanawajua kama ni kweli ni Amri ya Raisi ?

Kwa nini Tundu harudi Tanzania kwa sasa ni salama kwake ?
Kwanj uchunguzi uliishia wapi mkuu maana huu mwaka wa 4 kimya. Upinzani uliomba ufanyike uchunguzi huru kutoka nje ya nchi kwa kushirikiana na ndani ya nchi serikali ya Magufuli ilikataa katakata.

Kama serikali haikuhusika kwanini waogope uchunguzi huru ambao mataifa mengi hufanya kwa matukio ya aina hii kwa viongozi.
 
Kwanj uchunguzi uliishia wapi mkuu maana huu mwaka wa 4 kimya. Upinzani uliomba ufanyike uchunguzi huru kutoka nje ya nchi kwa kushirikiana na ndani ya nchi serikali ya Magufuli ilikataa katakata.

Kama serikali haikuhusika kwanini waogope uchunguzi huru ambao mataifa mengi hufanya kwa matukio ya aina hii kwa viongozi.

Raisi Magufuli ameshafariki lkn (R.I.P), na waliokwapua power hakuna kinachowazuia kuanika kila kitu kama wanavyofanya kwenye mambo mengine mengi aliyonzisha .
 
Raisi Magufuli ameshafariki lkn (R.I.P), na waliokwapua power hakuna kinachowazuia kuanika kila kitu kama wanavyofanya kwenye mambo mengine mengi aliyonzisha .
It's a matter of time mzee. Kila jambo na wakati wake. Time will tell.
 
Raisi Magufuli ameshafariki lkn (R.I.P), na waliokwapua power hakuna kinachowazuia kuanika kila kitu kama wanavyofanya kwenye mambo mengine mengi aliyonzisha .

..hata magufuli hakufumua madudu yote ya awamu ya kikwete.

..sasa tukuulize; kwanini magufuli alianika baadhi ya madudu ya kikwete, na mengine aliyaacha?
 
Huyo Tundu Lisu wako alikuja kugombea na hakupata hata kura millioni 2.

Lofa ,zee la MIGA alidhani watanzania ni wajinga watachagua msaliti.
Tupate katiba mpya mzee baba. Tanzania ya leo haihitaji kujengwa kwa ujanja ujanja. Umbea wa mtaani. Yanahitajika matendo zaidi.

Wengine wanasema Yesu ana mke. Kweli? Maajabu ya Musa na Ibrahim wa issaka.
 
It's a matter of time mzee. Kila jambo na wakati wake. Time will tell.

..we may not know who did it.

..kuna watu walipotea Znz wakati wa utawala wa Karume na mpaka leo serikali haijasema nini kilitokea.

..hao jamaa walikamatwa na serikali na mpaka leo haijulikani walipo, na nini kiliwakuta.
 
Huyo Tundu Lisu wako alikuja kugombea na hakupata hata kura millioni 2.

Lofa ,zee la MIGA alidhani watanzania ni wajinga watachagua msaliti.
Kwani kulikuwa na uhesabiaji kura au kulikuwa na ugawaji kura?

Hakuna mtu mwenye uhakika Lisu alipigiwa kura ngapi, wala Magufuli alipata ngapi.

Sehemu chache kuna uthibitisho kuwa kura alizopigiwa Lisu, zilihesabiwa kwa Magufuli, na za Magufuli akapewa Lisu. Ule ulikuwa ni upuuzi na ujinga wa hali ya juu. Haukuwa uchaguzi ule.
 
Wewe kama ni muhaya ni mojawapo ya wahaya WAPUMBAVU sana. Kalyamagosi gaasho.
Kwani uongo? Yaani mimi alipoanza tu kunywa damu za binadam pale pale nilimchukia nakuanza kupiga dua aende tu kuzimu ikawa bahati vilio vya wanadamu vikamfikia Mwenyezi Mungu.
 
Huyo Tundu Lisu wako alikuja kugombea na hakupata hata kura millioni 2.

Lofa ,zee la MIGA alidhani watanzania ni wajinga watachagua msaliti.
Lakini nakujimwambaf kwako hamkutaka uchaguzi huru na haki badala yake mkatumia vyombo vya dola kuwaingiza madarakani.

Kama kweli mnajiamini shindaneni kwa hoja za wazi halafu tuone nani gangwe.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom