Kituo Cha Kimataifa Cha Biashara Afrika Mashariki (Ubungo), Kufunguliwa June 2024

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,035
Mkurugenzi Mkuu wa kituo Kituo Cha Kisasa Cha Biashara Afrika Mashariki Cathy Wang akizungumza kwenye maonesho ya 47 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam amesema kituo hicho kinatarajiwa kufunguliwa mwezi June mwakani
ezgif.com-webp-to-jpg (1).jpg
---
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa kituo hicho Cathy Wang, kwenye maonesho ya 47 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu mkurugenzi huyo, ili kuwezesha na kuyaongeza uhai maonesho hayo mwakani, China itajitolea kuonesha uzoefu wake katika ukuzaji wa viwanda, maendeleo endelevu, kutanua wigo wa fursa na kutatua changamoto za kibiashara zinazohusiana na nchi hizo mbili.

Kwa upande wake, Balozi wa China nchini, Chen Mingjian, amesema Idara ya Biashara ya Mkoa wa Shandong ilisaini hati za ushirikiano wa kimkakati na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara ya Tanzania na TCCIA, ili kuimarisha mazungumzo na ushirikiano wa kina baina ya pande hizo mbili.
 
Mkurugenzi Mkuu wa kituo Kituo Cha Kisasa Cha Biashara Afrika Mashariki Cathy Wang akizungumza kwenye maonesho ya 47 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam amesema kituo hicho kinatarajiwa kufunguliwa mwezi June mwakani

Kazi nzuri inaendelea
---
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa kituo hicho Cathy Wang, kwenye maonesho ya 47 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu mkurugenzi huyo, ili kuwezesha na kuyaongeza uhai maonesho hayo mwakani, China itajitolea kuonesha uzoefu wake katika ukuzaji wa viwanda, maendeleo endelevu, kutanua wigo wa fursa na kutatua changamoto za kibiashara zinazohusiana na nchi hizo mbili.

Kwa upande wake, Balozi wa China nchini, Chen Mingjian, amesema Idara ya Biashara ya Mkoa wa Shandong ilisaini hati za ushirikiano wa kimkakati na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara ya Tanzania na TCCIA, ili kuimarisha mazungumzo na ushirikiano wa kina baina ya pande hizo mbili.
 
Yaani hapo ndio paishinde kariakoo?
Kuna watu eti wametabiri kariakoo inaenda kufa kisa hapo
Kariakoo inaingiza Serikalini bln 40 tuu wakati hapo Serikali itapata zaidi ya bil.200..

Kariakoo ni chenga tuu hata soko la Madini Chunya linaingiza pesa nyingi kushinda Kariakoo Sasa sijui wale walikuwa wanaandamana na kujiona spesho Kwa lipi hasa?
 
Kariakoo inaingiza Serikalini bln 40 tuu wakati hapo Serikali itapata zaidi ya bil.200..

Kariakoo ni chenga tuu hata soko la Madini Chunya linaingiza pesa nyingi kushinda Kariakoo Sasa sijui wale walikuwa wanaandamana na kujiona spesho Kwa lipi hasa?
Aisee usitake nikudharau bwashee
 
Back
Top Bottom