mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,151
- 3,066
Nilikuwa nakusanya pesa alafu naenda kukodi VHS za pornograph then navizia watu walale usiku naenda sitting room kuzitazama, sasa siku hiyo umeme ulikatika usiku nakashindwa ku eject mkanda, nikadamka saa 11 asubuhi nikakuta bado umeme haujarudi, na saa 12 naenda shule, nilikuwa na libegi likubwa nikapunguza madaftari nikaondoka na deki, nilifanikiwa kuitoa mitaa ya shuleni , home walijua wameibiwa, jioni nilivyorudi nayo nikawapa uongo but nilikula kichapo kizito, muda mwingi mama alikuwa ananihoji kwa nini niliondoka na deki mshua alijua nilitaka kuuza sema nilikosa wateja, nilipoteza uaminifu bt wengeujua ukweli ndio ingekuwa shali kamili
, nilikuja kuwasimulia ukubwani... Utoto una mengi aisee
, nilikuja kuwasimulia ukubwani... Utoto una mengi aisee