Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Wezere
Mi napenda mwanamke mkali,mkorofi na awe anaongea kwa uhuru bila woga raha ilioje sio mtu mpole.mwoga kusema linalomsumbua.Kama huu
We dearest tabia gani kuniita vuvuzela hadharani?!Embu tumia neno zuri kama chiriku au kasuku!Mi napenda mwanamke mkali,mkorofi na awe vuvuzela raha ilioje sio mtu mpole.mwoga kusema linalomsumbua.
Nafuta hilo neno mara moja na samahani kwa kukukwaza dearest.We dearest tabia gani kuniita vuvuzela hadharani?!Embu tumia neno zuri kama chiriku au kasuku!
Nafuta hilo neno mara moja na samahani kwa kukukwaza dearest.
Laptop mbovu,mobile inasumbua sweety imekataa edit.Naona bado lipo...ngoja urudi leo ndo utaona uvuvuzela ulivyo!
Imekubali edit halipo tena pheeew!Naona bado lipo...ngoja urudi leo ndo utaona uvuvuzela ulivyo!
Imekubali edit halipo tena pheeew!
Mwaaah! Mwaaah!Hahahhah...asante dearestÂ!!
Mwuahhhhhh!
Jamani mi napenda sana pale girl wangu anapokuwa mcheshi,anapokuwa ananichokoza mfano amenifinya,kunikumbatia,nikirudi home/geto anipokee kwa kiss,asiwe mbishi,awe anajua kubuni mbinu za mapenzi,napenda pale anaponishauri,asiwe ananuna heri ananiambie live kinachomkera,sipendi nimwumize,niwe nacheza naye game za computer,kuangalia pamoja michezo kama soccer,maigizo,movie,kama niko free awe ananiomba tupike pamoja,kiujumla awe ananishirikisha kila kitu.
Kitu gani kinakufanya umpende zaidi mpenzi wako?au kitu gani kinakuvutia uwe unafanya umpende au kushirikiana na mpenzi wako?
Hahaha! Mi napenda wakali na wakorofi lakini nakuvulia kofia we chiboko lol!Swadaktaaaaa mm napenda mwanamke kwanza awe baunsa,anapiga chuma na gym kwa sana. Pia awe anaota ndoto za kutisha ili aniamshe usiku nisome/kusali. Asiongeze vinywele vya macho yake kama yule mshiriki wa BB frm Nigeria. Awe anaweza kugombania mabasi hasa ya mbagala nakoishi.