Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Wadau wa JF nimebaki najiuliza sababu zilizomfanya Mhadhiri Msaidizi wa UDSM ajiue?
Mhadhiri huyu ambaye ameanzia kwenye ngazi ya ualimu wa shule ya msingi,Sekondari hadi kuwa Mhadhiri Msaidizi pale Mlimani alikutwa amejinyonga kwenye chumba chake huko Sweden alipokuwa anafanya PhD.yake... Najua kuna wadau waliopo Sweden au Wahadhiri wenzake wanaweza kutupa maelezo zaidi kwani kuna Mdogo wangu alimfundisha shule ya sekondari miaka ya nyuma MAREHEMU ALIKUWA ROLE MODEL WAKE!
Nawasilisha.
Mhadhiri huyu ambaye ameanzia kwenye ngazi ya ualimu wa shule ya msingi,Sekondari hadi kuwa Mhadhiri Msaidizi pale Mlimani alikutwa amejinyonga kwenye chumba chake huko Sweden alipokuwa anafanya PhD.yake... Najua kuna wadau waliopo Sweden au Wahadhiri wenzake wanaweza kutupa maelezo zaidi kwani kuna Mdogo wangu alimfundisha shule ya sekondari miaka ya nyuma MAREHEMU ALIKUWA ROLE MODEL WAKE!
Nawasilisha.