Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
- Thread starter
- #21
Amehojiwa mhadhiri mmoja main campus akadai amekufa kifo cha kawaida kama binadamu wengine! zipo tetesi kuwa (believe or not) kuwa msongo wa mawazo ndo umemuondosha baada ya defence ya PHD yake kuwa ngumu. Hizi shule nazo zina mambo yake. Mtu anakuwa na expectation za juu kisha mwisho wa siku mambo yanagoma, Mungu na ailaze roho yake mahali pema peponi kwani yeye ametangulia na sisi tutafuata.
Inasikitisha saaana...