The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,417
walevi wawili waslikiwa wana zunguka usiku hamadi wakakuana na mchungaji katoka mkesha
mchungaji ; vijana mmeharibika njooni niwafunze njia ya kwenda kwa bwana
mlevi ;samahani brother sisi hatuendi kwa bwana tuna enda sinza
mchungaji akawaacha
mbele kidogo wakaanza mjadala kwamba king'aacho juu ni mwezi au jua .wakakubaliana watakae mwona yeyote wamuulize .
mara akatokea jamaa ambae kumbe kalewa kuwazidi.
wakamuuliza :samahani ndugu eti ile ni jua au mwezi
jamaa; samahanini ndugu mi mwenyewe mgeni n na eneo hili.
mchungaji ; vijana mmeharibika njooni niwafunze njia ya kwenda kwa bwana
mlevi ;samahani brother sisi hatuendi kwa bwana tuna enda sinza
mchungaji akawaacha
mbele kidogo wakaanza mjadala kwamba king'aacho juu ni mwezi au jua .wakakubaliana watakae mwona yeyote wamuulize .
mara akatokea jamaa ambae kumbe kalewa kuwazidi.
wakamuuliza :samahani ndugu eti ile ni jua au mwezi
jamaa; samahanini ndugu mi mwenyewe mgeni n na eneo hili.