Kitivo cha sheria UDSM aibu kwenu

Ina maana wewe umesoma chuo ambacho kinaongoza kuwa na tayila wa kufa mtu.Kwani UDSM kuna kipi cha ajabu.Kuna mwanasheria yeyote hapo UDSM ambaye ametunga sheria kama siyo kutungwa na Bunge ambalo linawatu wengi ambao hawakuwai soma sheria just form 4 to form and 6.
kwi kwi kwi!! elimu za kata zinawafundisha nini nyie vijana ?hivi hilo neno hapo juu lina maana gani?
yupo mwanasheria mmoja aliyesimamia kutunga sheria !!! anaitwa samweli sitta!
 
Hapo lazima tukubali kuna tatizo,tukitaka kujisahihisha lazima kwanza tusipendelee,kwa hili kuna tatizo
 
huyu bwana Alexism ni layman wa sheria bora aombe kuelekezwa.
bungeni wapo wabunge wengi wanasheria na ieleweke kabla ya sheria kutungwa inapitia hatua nyingi moja wapo ni mswaada na miswaada inatungwa na delegated peole wanaweza kuwa wanasheria, wachumi mainjinia au watu wengi wenye ujuzi baadae ndio inapelekwa bungeni kujadiliwa.lini umewahi kuwaona wabunge wakikaa na kutunga kama sio kujadili miswaada na kuikosoa au kurekebisha?
kwi kwi kwi!! elimu za kata zinawafundisha nini nyie vijana ?hivi hilo neno hapo juu lina maana gani?
yupo mwanasheria mmoja aliyesimamia kutunga sheria !!! anaitwa samweli sitta!
 
kilichokuwa kinazungumzwa ni miaka ya kitivo au uhuru wa tanganyika?
kama ni kitivo cha sheria na jubilee yake
anybody can represent so long anajua historia ya kitivo cha sheria
yawezekana ni kiongozi wa UDLS ana haki hiyo sijui unachopinga ni nn
Mm niko nchi za watu huku na nimeshahudhuria matamasha na mikutano kuwakilisha kitivo na chuo ninachosoma sasa mm ni mzawa???
nimesomahapo UDSM kitivo cha sheria nakielewa vema ndugu
acha ubaguzi wa kijinga usiokuwa wa kisomi

Umesoma wapi wewe kama siyo kuudhulia darasani eti...'niko nchi za watu'..sasa wewe msomi wa wapi unatamka maneno ambayo hata LAYMAN hawezi tamka.
Kwahiyo huku Tanzania wanaoishi siyo watu na wewe siyo mtu labda unakuishi now ndo kuna watu. Huwezi kujiita msomi wakati unajenga premises za kijinga full of falacies.
Uwezi ongelea jubilee ya 50yrs bila kugusa 50yrs of flag independence for Tanganyika.
Unapozungumzia kitu lazima upime uzito wake,content na coverage ya kitu hicho.Unapoongelea FOL unaongelea uhuru wa nchi,sera,sheria,mafanikio,matatizo na kipi kifanyike hapa tanzania.Mganda huyu amekuja TZ 2008 kabla ya hapo hakuwai kuja TZ na haijui vizuri.Kuna watu wametoka country side hapa TZ na wanasoma sheria na wanajua vizuri hali halisi ya TZ kuliko huyo aliyeisoma kwenye madesa mkuu.
Mkuu nakuona wa ajabu sana unaposema umesoma UDSM(FOL) bt you do not reflect to have studied at UDSM!Mimi ndo nimehitimu form four sasa wewe sijui kama ata form ulipitia.
 
kwi kwi kwi!! elimu za kata zinawafundisha nini nyie vijana ?hivi hilo neno hapo juu lina maana gani?
yupo mwanasheria mmoja aliyesimamia kutunga sheria !!! anaitwa samweli sitta!

teh teh alitunga sheria kama mwanasheria au mbunge?Mkuu tuelimishe sheria gani alitunga kama yeye sitta na siyo kama bunge? Ata kama nimemaliza f4 haimanishi kuwa nisioji au na wewe ndo wale wale Dogmas and u cant think beyond the layer of a phenomena!
 
Mkuu LOKISA nadhani utakuwa ujaisoma mada vizuri.Ndo maana watu ambao mnaamini kuwa nikimtangulia mtu darasa basi mimi nina akili zaidi.Maada haiongelei utungaji wa sheria bali kumtumia mganda kuongelea 50yrs ya FOL ingawa wengi mnakimbilia kwenye maada nyingine mlioanzisha wenyewe in the same thread.
Lakini kwakuwa umeamua kufanya hivyo inaonesha jinsi gani mnaweza potosha watu.SWALI.Ni mwaka gani na sheria hipi ilitungwa na muimili wa MAHAKAMA au wanasheria hapa Tanzania.
Natumia elimu yangu ya O level lakini ukweli haupo mbali.Sheria inaanza kama propals+bill+enactment+approval=an act(tunaweza sema sheria)sasa katika stage hizo wapi wanasheria wanamiliki 100 kama siyo kwenye enforcement and interpretation of an act(law)Msitufanye hatuna uelewa kwakuwa tunasoma shule za kata.Jua kuwa shule za kata ndo kuna gifted,bright ,wise and intrinsic students hakuna spoon feeding huku.
 
.hapa unazungumzia jubilee FOL ndio mada yako na sio jubilee ya uhuru.
tunajadili ulichoandika na sio ulichokisikia ww kwa tv.wengine hatuna access na hizo tv.isitoshe ulitaka maoni yetu na sio kutoa lugha za kashfa.kama majibu unayo huna haja ya kutoa mada.anyway kwa vile umesema form 4 ndio maana una mawazo finyu.sijui kama unajua nn maana ya delegation ktk ishue ya administrative law au constitutional law.

Kitivo cha sheria UDSM wameadhimisha miaka 50 lakini ni aibu tupu.Leo kupitia TBC 1 kipindi cha This week in Perspective kinachoendeshwa na Adam Sembaye.
Kilichonishangaza kuwa panels ambaye amewawakilisha wanafunzi ni Mganda(ugandan) Peter Kamya duh!Sasa nimejiuliza amekosekana mwanafunzi wakitanzania kuja hapo na kuongelea mada hiyo.WATANZANIA TUNAJIAIBISHA WENYEWE tutakuja hata kuwaita waje watuongoze.
 
Sir, How did you kill 50
people in a
car accident? The police
man
asked?, He replied: i was
driving 40mph, when i tried to
stop i
found out that i have no
breaks,
and i saw two men
walking on the street and a wedding on
the
other side of the street,
who
should i hit? The police
man answered: of course the
two
men,less damage. Man
said: that's what i
thought to
myself, but when i did it, i hit only
one and the other one
ran to the wedding, SO I
WENT
AFTER HIM..
 
Tatizo wanafunzi wengi wa kitanzania walioka vyuo vikuu kuongea english hawawezi na kile kipindi wanaongea
english so ni heri walivyompeleka mganda maana kwao english kama chai na sukali......mbongo angebabaika
 
Kitivo cha sheria UDSM wameadhimisha miaka 50 lakini ni aibu tupu.Leo kupitia TBC 1 kipindi cha This week in Perspective kinachoendeshwa na Adam Sembaye.
Kilichonishangaza kuwa panels ambaye amewawakilisha wanafunzi ni Mganda(ugandan) Peter Kamya duh!Sasa nimejiuliza amekosekana mwanafunzi wakitanzania kuja hapo na kuongelea mada hiyo.WATANZANIA TUNAJIAIBISHA WENYEWE tutakuja hata kuwaita waje watuongoze.

Tatizo liko wapi mkuu?
Wakati nasoma UDSM katikati ya miaka ya 1990's mbona msemaji wa DARUSO alikuwa mganda na hakukuwa na tatizo lolote?
Do you know that mwenyekiti wa student association wa UCLA aliwahi kuwa mtanzania?
 
Sir, How did you kill 50
people in a
car accident? The police
man
asked?, He replied: i was
driving 40mph, when i tried to
stop i
found out that i have no
breaks,
and i saw two men
walking on the street and a wedding on
the
other side of the street,
who
should i hit? The police
man answered: of course the
two
men,less damage. Man
said: that's what i
thought to
myself, but when i did it, i hit only
one and the other one
ran to the wedding, SO I
WENT
AFTER HIM..

......that was not an accident then!
 
Back
Top Bottom