Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Kitivo cha sheria UDSM wameadhimisha miaka 50 lakini ni aibu tupu.Leo kupitia TBC 1 kipindi cha This week in Perspective kinachoendeshwa na Adam Sembaye.
Kilichonishangaza kuwa panels ambaye amewawakilisha wanafunzi ni Mganda(ugandan) Peter Kamya duh!Sasa nimejiuliza amekosekana mwanafunzi wakitanzania kuja hapo na kuongelea mada hiyo.WATANZANIA TUNAJIAIBISHA WENYEWE tutakuja hata kuwaita waje watuongoze.
Kilichonishangaza kuwa panels ambaye amewawakilisha wanafunzi ni Mganda(ugandan) Peter Kamya duh!Sasa nimejiuliza amekosekana mwanafunzi wakitanzania kuja hapo na kuongelea mada hiyo.WATANZANIA TUNAJIAIBISHA WENYEWE tutakuja hata kuwaita waje watuongoze.