Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Zakumi,
I would like to hear your take on what we simple people of Tanzania are supposed to do to do away with this corrupt inefficient system we have. Doing nothing in no option.
Kuna mambo mengi naweza kusema lakini kwa sababu ni shughuli hapa kubeba mabox, nitachagua moja na lililo simple. Ningewaambia kuwa hile katiba iliyoipa Tanganyika uhuru mwaka 1961, katika zawadi zote tulizopata kwa wakoloni na wahisani ilikuwa one of the best if not the best of the best.