ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Hiyo ndio tafsiri halisi ya kukurupuka.Pale issue ilikuwa ni kuwatoa hao anaosema wana 4 na zero na kuwaacha wenye sifa waendelee, mbona rahic tuu jamani!? Tawi bovu dawa sio kung'oa mti na mizizi yake