Kiteto: Tembo wamtoa utumbo aliyetaka kupiga nao ‘selfie’

Tembo ana kasi zaidi ya binadamu. 40km/h si mchezo. Usain Bolt amemzidi African Bush Elephant kidogo tu 44km/h.
Na ukute hiyo 44km/h ya Bolt hawezi kimbia at that pace for more than 20 seconds.. Tembo unakuta anakata hizo 40km/h hata kwa dakika kumi straight
 
Hahah Ngiri anakimbia hadi anatimua vumbi 😂😂 ila mimi naonaga.kama akili zao hazipo sawa, maana anaweza kuamua kukimbia tu alafu ghafla anasimama 😂
Hivi lile vumbi huwa linatoka wapi kweli, yani watakimbia kundi la swala, pundamilia hakuna vumbi....ila yeye vumbi linatimka 🤣🤣🤣 nahisi kama ni njia ya kumkabili adui
 
Na uwe unapandika huo mti.. Bila hivo kimbilia upepo unapoelekea alafu zigzags.. Kuna mwalimu alikua na pikipiki (Rajoot) uko dodoma vijijini akakuta tembo wamefukuzwa wanahasira ikabidi wamuungie. Sasa akaongeza gia anaona jamaa wapo tu nyuma hadi akasimamia pikipiki🤣.. Alivoona bado wapo akaachia pikipiki akakimbia kwa miguu.. Hasira za tembo ziiishia kwenye pikipiki Rajoot
😂😂😂 Nimecheka sio kitoto
 
Rejeeni kusoma Uzi wangu hapa JF | Ujasiri namna ya kumkimbia tembo ukikutana naye.
 
Back
Top Bottom