Pikipiki imemuokoa ila wanyama ni wakorofi sana kwenye vyombo vya moto hasa kama hawajavizoea.Na uwe unapandika huo mti.. Bila hivo kimbilia upepo unapoelekea alafu zigzags.. Kuna mwalimu alikua na pikipiki (Rajoot) uko dodoma vijijini akakuta tembo wamefukuzwa wanahasira ikabidi wamuungie. Sasa akaongeza gia anaona jamaa wapo tu nyuma hadi akasimamia pikipiki🤣.. Alivoona bado wapo akaachia pikipiki akakimbia kwa miguu.. Hasira za tembo ziiishia kwenye pikipiki Rajoot
Tembo hapendi kelele kabisaPikipiki imemuokoa ila wanyama ni wakorofi sana kwenye vyombo vya moto hasa kama hawajavizoea.
Yaani acha tu kaka! Niliwahi ona kijana mmoja kule Lindi Liwale anakula ile pembe ya tembo! Jamaa alikua anawaswaga, sasa ule upepo ukarudi, tembo akanyanyua juu lile konga lake,kumbe ndo akanasa harufu, yule jamaa aligeuka kuanza kukimbia, dakika 1 ni nyingi mno! Jamaa alikula ile pembe! Akamshika na ule mkonga wako pigiza chini, kanyaga jamaa alikufa vibaya sana aiseeeNasikia tembo anakimbia sana.. Wanasema ukikimbizana na tembo humalizi hata mita 20 amekudaka
Mpaka leo najiuliza na ule ukubwa na mwili mbio anazitoa wapi sipati jibu aiseeYaani acha tu kaka! Niliwahi ona kijana mmoja kule Lindi Liwale anakula ile pembe ya tembo! Jamaa alikua anawaswaga, sasa ule upepo ukarudi, tembo akanyanyua juu lile konga lake,kumbe ndo akanasa harufu, yule jamaa aligeuka kuanza kukimbia, dakika 1 ni nyingi mno! Jamaa alikula ile pembe! Akamshika na ule mkonga wako pigiza chini, kanyaga jamaa alikufa vibaya sana aiseee
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Bwana wewe! Na tembo mkubwa ana Kgs 7000 hadi Kgs 8000! Na anakukimbiza hadi anakudaka! Wataalam wanasema kimbia zig zag ndo unaweza muacha,japo sina hakika zaidiMpaka leo najiuliza na ule ukubwa na mwili mbio anazitoa wapi sipati jibu aisee
Tembo anakimbia zaidi ya kilomita 35 kwa saa Mkuu ni almost mara mbili ya spidi ya mwanadamu.Nasikia tembo anakimbia sana.. Wanasema ukikimbizana na tembo humalizi hata mita 20 amekudaka
Kabla hujaingia ifadhini hakikisha umejua mwelekeo wa upepo ukojeKheee
Yes nasikia pilipili au ukichoma maganda ya korosho ile harufu hapatani nayo kabisa. Kule Tunduru nilikuwa naona mashamba wamezungushia kamba imepakwa pilipiliTembo anakimbia zaidi ya kilomita 35 kwa saa Mkuu ni almost mara mbili ya spidi ya mwanadamu.
Na hautasikia kishindo wala nini zaidi ya sauti tu. Tembo ni kama paka anaweza kupita nyuma yako na usijue kama amepita hapo.
Adui wa Tembo ni kelele, ila ukitaka mfukuza ni pili pili tu kiboko yao
Imejibiwa kisiasa sana, tembo wakiharibu shamba lako utalipwa fidia ndogo sana ila jaribu kuua temboMakamu wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kiteto, Kassimu Msonde kutokana na sakata hilo, ameahidi kulifikisha kwenye vikao vya kisheria vya halmashauri ili lipatiwe ufumbuzi.
"Sasa hivi tembo ni wengi na wanazurura bila mpango, wananchi wachukue sasa tahadhari ili wasipate madhara zaidi,” amesema.
Basi namuona kama mkubwa na mzito sana hawezi kukimbia, kumbe ni tofautiTembo anakimbia zaidi ya kilomita 35 kwa saa Mkuu ni almost mara mbili ya spidi ya mwanadamu.
Na hautasikia kishindo wala nini zaidi ya sauti tu. Tembo ni kama paka anaweza kupita nyuma yako na usijue kama amepita hapo.
Adui wa Tembo ni kelele, ila ukitaka mfukuza ni pili pili tu kiboko yao
Udom hilo eneo ilikuwa njia ya tembo miaka nenda rudi,wanadam ndy tumevamia maeneo yao
Mwanadam anajifanyaga kama yeye ndiyo Ana haki ya kuishi duniani pekee yake
Ova
hizo ndio njia ya asili ya kuwazuia, tatizo watu wanataka kufukuza Tembo kama wanafukuza mbuzi shambani 😂😂 Tembo hapendi kelele kabisa nafikiri na hao walileta shida sababu ya kelele za raia.Yes nasikia pilipili au ukichoma maganda ya korosho ile harufu hapatani nayo kabisa. Kule Tunduru nilikuwa naona mashamba wamezungushia kamba imepakwa pilipili
Tembo ni balaa, mwanadamu hawezi kimbizana naye akamshinda lazima akuache mbali sana.Basi namuona kama mkubwa na mzito sana hawezi kukimbia, kumbe ni tofauti
Unazijua zile mashine za kusaga za diesel. Zile zikiwashwa nasikia hakai tena hapo lazima asepe.. Sasa kwenye kukimbia ndio ukutane nae hapo balaa unalohizo ndio njia ya asili ya kuwazuia, tatizo watu wanataka kufukuza Tembo kama wanafukuza mbuzi shambani 😂😂 Tembo hapendi kelele kabisa nafikiri na hao walileta shida sababu ya kelele za raia.
Japo kuna wataalamu wa kuwafukuza Tembo kwa kelele, yani anakerwaa hadi mwenyewe anasepa. Hao unaweza kukuta kijiji kizima yupo mmoja tena mzee kinoma
hii imekaa kama uongo mwaka ambao tembo walikuja UDOM ilikuwa 2017 kama sikosei ila hawakudhuru mtu zaid na zaid mali asili walikuja wakawatoa nilikuwa last year HUMANITIESKuna kipindi UDOM waliingia bwana kule iyumbu,wakaanza kuwafukuza walikuwa kama watatu sasa wamekimbia na mihasira yao wamefika sehemu wanatembea zao pale education jamaa akaenda kupiga selfie
Mda huohuo akawa marehemu
Usitake urafiki na hawa wanyama hawa
"Mchuma janga hula na wa kwao".Utapigaje selfie na tembo?
Haya sasa mwana kulitaka mwana kulipata.
Apone haraka
Dah basi kumbe namchukulia poa, kuna nguruwe pori.... huyu mnyama ndio namuona balaa ana mbio huyo angekua ni binadamu basi ni mwanariadha kutoka Kenya 🤣Tembo ni balaa, mwanadamu hawezi kimbizana naye akamshinda lazima akuache mbali sana.
Tembo ni kibonge mwepesi 😂😂😂