Uchaguzi 2020 Kitendo cha kuzima mitandao ya kijamii kitawagharimu kura nyingi sana CCM

Wame restrict App Store kwa sababu wanajua ndio site inayo kuwezesha ku-down free VPN apps - tunaiga mbinu za Uchinà na Korea Kaskazini pamoja utawala wa Stalin!

If my memories serves me right katika chaguzi za 2015 hapakuwepo na mambo ya ajabu kama haya - Uongozi wa awamu ya NNE haukuwahi ku-muzzle media hata siku moja, sasa kwa nini chaguzi za safari hii ndio pawepo na ulazima wa ku-restrict raia wasipate taarifa kutoka kwenye alternative sources, kwani mnafikiri Watanzania hawana akili za kuchambua baina ya pumba mchele?

Zoezi la kufungia social media hata kama ni temporarily limetia DOA Taifa letu linaonekana hali heshimu haki za binadamu - maadui wetu wanaweza kutumia loop hole hii kutuharibia sifa kimataifa, sasa tunafahidika nini kwa kuwapatia maadui zetu ammunition za Ku demonise Taifa letu?
Tulia dogo, Kama taifa hatuoni shida na chochote kile Robert Amsterdam na kundi lake la mashoga na mabeberu watasema, tunachojari ni kutoruhusu vijana wetu ambayo Wana mtindio wa ubongo kupokea maelekezo ya kifedhuri kuvunja Sheria na sisi kulazimika kuwaumiza vijana wetu Hawa! Tutaendelea kuwalinda vijana wetu wasiojitambua wasijefanya wasiyatambua!
Pia kumbuka uchaguzi wa 2015 tulikuwa hatujaletewa msukule wa mabeberu live Kama ilivyo Sasa kwa Kuwa tulikuwa hatujayakanyaga maslahi yao! Ulinzi wa nchi yetu ni muhimu kuliko maneno yao!
 
Na inawezekana mitandao ndio imefikia mwisho wake kabisa.

Kama mtakumbuka vizuri,kuna kauli iliwahi kutolewa ya kuomba malaika ashuke azime mitandao.Naona ombi limesikiwa na bila shaka jambo hili ndio limefanyika na hatutarudi kama tulivyozoea.
 
CCM kama imeweza kuzima mtandao na una uhakika basi tutazima ngebe zenu kesho na mtafyata mkia
Na hizi kampuni za simu ccm .zitayarishe kurudisha data zitu kama zilivyo kuwa walipo tuzimia .vinginevyo tutawashitaki kwa kula njama na ccm kutuibia pesa zetu Kununulia data .we fikiria data za elfu mara labda watu milioni 3 = ni Bilioni 3 .wajitayarishe
 
Sisi kazini kwetu toka jana hakuna Internet, kiukweli tumeumia sana. Tumeshindwa kuoa Sales, Invoices na Cash sales kwasababu ya kukosa internet. Acha kesho nikapige kura yangu, halafu nisikie mtu anakuja kumtangaza mwingine ambaye hajashinda, Tutaelewana aisee.
On the point mkuu.
the same na Ofisini kwetu kazi kuanzia jana zimesimama Internet Akuna,
kwasababu ya kujinga na upumbavu wa Genge la watu wachache wenye lengo la kuivuruga hii Inchi.
Nasema hivi Kura yangu aitakwenda bure lazima JIWE tumtoe madarakani.
 
Nasema hivi tukimuacha JIWE Aendelee kuiongoza hii Inchi kwa mara nyengine tena ,Wallah watanzania tumekwisha.
 
L
Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.

Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).

Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?

Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.

Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.

Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Hongera Sana jf kweli huu Ni mtambo mkubwa Sana ....

App imegoma funguka lakin on-line ( Google) imekubali madini Kama kawa
 
Wame restrict App Store kwa sababu wanajua ndio site inayo kuwezesha ku-down free VPN apps - tunaiga mbinu za Uchinà na Korea Kaskazini pamoja utawala wa Stalin!

If my memories serves me right katika chaguzi za 2015 hapakuwepo na mambo ya ajabu kama haya - Uongozi wa awamu ya NNE haukuwahi ku-muzzle media hata siku moja, sasa kwa nini chaguzi za safari hii ndio pawepo na ulazima wa ku-restrict raia wasipate taarifa kutoka kwenye alternative sources, kwani mnafikiri Watanzania hawana akili za kuchambua baina ya pumba mchele?

Zoezi la kufungia social media hata kama ni temporarily limetia DOA Taifa letu linaonekana hali heshimu haki za binadamu - maadui wetu wanaweza kutumia loop hole hii kutuharibia sifa kimataifa, sasa tunafahidika nini kwa kuwapatia maadui zetu ammunition za Ku demonise Taifa letu?
WhatSapp, you tube vyote vimepigwa pin
 
Watu hawapigi kura kwa mtandao mzee; acha kutumia mtandao kueneza uwongo. Kura ziko kwenye ballot box, na mpaka sasa hivi CCM imeshajizolea takriban 80% ya kura zote. CHADEMA wanaodhani kuwa kura ziko kwenye mtandaoa wanajidanganya sana. Chama kisichokuwa na viongozi wa matawi halafu bado kinategemea kupata kura ni chama cha hovyo kabisa. Kwenye political science kuna kitu kinaitwa grassroots, ambazo chadema hawana kabisa, ziliondoka na Dr.Slaa; kwa hiyo subirini mavuno yake.
Hapo kenya ni chama gani kina grassroots
 
Hata Mimi nashangaa mbona apps za google YouTube na Instagram hazifanyi kazi kabisa nikadhani ni Mimi tu kumbe imezimwa. Hapo nimeelewa.
 
Shoga anapigia kura shoga! Kitundu na wanaompigia kura mnajijua acha kubwabwaja! Vidume hatuendekezi ujuha huo, warembo tunao wa kuitisha! Ww na mashoga wenzio mtasubiri Sana! JPM ndio mpango mzima 5tena!
muuaji hana lake kwenye sanduku la kura,ategemee huruma za nec
 
Na inawezekana mitandao ndio imefikia mwisho wake kabisa.

Kama mtakumbuka vizuri,kuna kauli iliwahi kutolewa ya kuomba malaika ashuke azime mitandao.Naona ombi limesikiwa na bila shaka jambo hili ndio limefanyika na hatutarudi kama tulivyozoea.
This is worse towards coward Magufuli.
 
Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.

Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).

Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?

Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.

Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.

Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Wamefungia mpaka google map. Nimeenda kulipiza kwenye kura yangu
 
Back
Top Bottom