Mimi ni muafirka halisi, sex orientation ziko 2 tu ! ke na me, hadithi za intermediate sex orienations ni za wazungu.nimeishi nao miongo kadhaa,lakini upuuzi huu nimewaachia wenyewe.
Allegation ya kwanza ni nzito mno bila ushahidi ... Sheria ya mtandao itakuhusu
Mimi ni muafirka halisi, sex orientation ziko 2 tu ! ke na me, hadithi za intermediate sex orienations ni za wazungu.nimeishi nao miongo kadhaa,lakini upuuzi huu nimewaachia wenyewe.
Mbona mleta mada umesema ni Bi Mongela ina maana hata mkuu wa mkoa hujua jinsia yake je tutaamini vipi na haya uliyoyaandika kama umekosea maana pia hakuna hata ushahidi. Hebu rekebisha pale kwenye title halafu weka na source
mkuu tuwekee source tuisambaze hii habar
Source ni mimi mwenyewe. Kama huamini acha. Lakini nikisema source ni mimi mwenyewe utaelewa. Kumbuka alikuwa akizungumza na watu na si mmoja.
Huyu ni mtoto wa Getrude anaitwa John Mongela. Kabla ya kwenda Kagera alikuwa mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini na kabla alikuwa mkuu wa Wilaya ya Kigoma mjini. Huyu kijana ni mnyenyekevu na mpole ila ni kada kindakindaki wa CCM. Pamoja na hivyo kwa jinsi ninavyomfahamu siamini kama kayanena maneno hayo.I am speechless. Kama hizi habari ni kweli basi wenzetu sio watu, ni vioja.
Ila kama viongozi wakuu wa ccm walimpandisha cheo Kamuhanda kwa "kazi nzuri" aliyofanya ya kusimamia mauaji ya Mwangosi, basi wadogo zao hawawezi kuacha kupanga mauaji.
Ila ni Mongela yupi anaweza kuwa shetani hivi? I pray that it's not Getrude. Simfahamu RC wa Kagera. Hivi JK alimwondoa Masawe pale Kagera ili aweke shetani?
Umenena Kabisa Mkuu. Hata mi mwenyewe nilishikwa na butwaa nikajiliza huyu mleta mada hii vipi ...amelewa nini? Bi? Mbona anataka kudhalilisha jinsia ya jamaa...hata kama ana matatizo lakini jina lake ni John Mongela na sio Bi Mongela! I hope atarekebisha maana naona kama amekurupuka bila ya kuhakiki hata jina na jinsia ya mtu anayemtuhumu.
Huyu ni mtoto wa Getrude anaitwa John Mongela. Kabla ya kwenda Kagera alikuwa mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini na kabla alikuwa mkuu wa Wilaya ya Kigoma mjini. Huyu kijana ni mnyenyekevu na mpole ila ni kada kindakindaki wa CCM. Pamoja na hivyo kwa jinsi ninavyomfahamu siamini kama kayanena maneno hayo.
Huyu ni mtoto wa Getrude anaitwa John Mongela. Kabla ya kwenda Kagera alikuwa mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini na kabla alikuwa mkuu wa Wilaya ya Kigoma mjini. Huyu kijana ni mnyenyekevu na mpole ila ni kada kindakindaki wa CCM. Pamoja na hivyo kwa jinsi ninavyomfahamu siamini kama kayanena maneno hayo.
Mnataka kuamini yakitokea maafa? Haya jamani sitaki kulazimisha watu kuamini lakini nataka tahadhali kubwa iwepo dhidi ya uhalifu. Na uhalifu hauangalii cheo! Nawaogopa sana wana siasa hawa. Hivi watanzania tumelogwa? Ninalopinga ni siasa za chuki na kihalifu anazojaribu kupandikiza Kagera.
Tuhuma hizi ni nzito sana kuziamini bila ushahidi, kusema sorce ni wewe mwenyewe hakutoshi kutuamonisha unayoyasema...By the way kikao cha CCM tena makada we BAVICHA ulihisika vp?? Unachokiandika kina reflect kilichomo kichwaniwako...Achana na siasa za maji taka, concentrate kuijenga Chadema kisera na si kiumbea na uzushi...siku njema
Allegation ya kwanza ni nzito mno bila ushahidi ... Sheria ya mtandao itakuhusu
Tuhuma hizi ni nzito sana kuziamini bila ushahidi, kusema sorce ni wewe mwenyewe hakutoshi kutuamonisha unayoyasema...By the way kikao cha CCM tena makada we BAVICHA ulihisika vp?? Unachokiandika kina reflect kilichomo kichwaniwako...Achana na siasa za maji taka, concentrate kuijenga Chadema kisera na si kiumbea na uzushi...siku njema
Mkuu shida yangu nimkwamba siamini kama John kayatamka hayo maneno kama ulivyowasilisha hapa. Akiwa kama mkuu wa Mkoa na kama ulivyosema ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama hivyo ana dhamana nzito ya Mkoa. Siamini kwamba atawakusanya Makada kibao na kwenda nao pale Linas, hadharani, na kuyasema hayo uliyoyasema.
Shida yangu ni sawa na ya huyu wa ukwee