Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Mwaka 2010 ulipoanza, JK aliwaita mabalozi wote wa nje Ikulu na akawapiga
mkwala mkali sana, kuwa serekali yake haitasita kuchukua hatua kwa
nchi yoyote na hata kama ni mfadhili, endapo itataka kujishughulisha na maswala ya uchaguzi wa October 31.
Nini lengo kuu la huu mkwala???
mkwala mkali sana, kuwa serekali yake haitasita kuchukua hatua kwa
nchi yoyote na hata kama ni mfadhili, endapo itataka kujishughulisha na maswala ya uchaguzi wa October 31.
Nini lengo kuu la huu mkwala???