nunueni kinginge. Kitanda cha kawaida kabisa mnaweza kupata kwa laki moja, so for the sake of your starehe and peace of others, changeni 5o kila mmoja. All the best.
Ila maswali mengine are not worth asking!
Sikutaka kuchangia lakini umenikonvis,hiyo red imenishangaza,mke na mume wachangie 50/50? kwani hawana mfuko wa pamoja au malengo/mipango ya pamoja ili kuonyesha umoja wao? au mmoja wapo hawezi nunua? Wachange kwenye ndoa?,mmoja kama hana ina maana atadaiwa na akipata amlipe mwenzie? Hivi ndoa zote zipo hivo jamani?nunueni kinginge. Kitanda cha kawaida kabisa mnaweza kupata kwa laki moja, so for the sake of your starehe and peace of others, changeni 5o kila mmoja. All the best.
Ila maswali mengine are not worth asking!
Sikutaka kuchangia lakini umenikonvis,hiyo red imenishangaza,mke na mume wachangie 50/50? kwani hawana mfuko wa pamoja au malengo/mipango ya pamoja ili kuonyesha umoja wao? au mmoja wapo hawezi nunua? Wachange kwenye ndoa?,mmoja kama hana ina maana atadaiwa na akipata amlipe mwenzie? Hivi ndoa zote zipo hivo jamani?
Yaani sikutaka kujua situation yao ya maisha ikoje, nani kati yao ana mfuko mnene nani hana, so solution ya haraka kwa tatizo ili lisolviwe haraka ni kwa kila mmoja kutake initiative,maana yawezekana kila mmoja anamtegea mwenzie. 50/50 sounds fair! Whats wrong kuchanga kweneye ndoa? si kila mtu anaweza kuwa na kipato chake, na kama mnataka kujenga au kununua gari au kufanya investment what is the easiest way? sio kupull resources together? Na huu ndo umoja sasa, kuhakikisha hakuna anayeonewa, lakini hakuna mahali niliposema asienacho adaiwe, haya ni makubaliano tu!
Kuna ndoa zingine mwanaume ndo anafanya kila kitu, zingine wanachangia, na mara chache kukuta mwanamke anafanya kila kitu, so whatever fits you as a couple. hakuna uniform way of doing things. so, si ndoa zote zipo hivyo. Naakaribisha swali lingine Zd.
na nyie acheni ubahiri kanunueni kitanda kitakachowafanya muwe huru kujibinua katika style zote mnazotaka bila bugudha
mmmmhhhhhhh FL 1 KUJIBINUA KWA STYLE ZOTE UMENIKUMBUSHA MBALI
teh teh teh teh,hahaha wapi huko?
teh teh teh teh,
hapana kabla sijaoa nilitafuta kitanda kizuri sana ndo nikaoa,huku kwetu kama huna kitanda imara hupewi mkembona unacheka bila sababu Compressor ama na wewe kitanda chako ni sawa na cha pdidy
hapana kabla sijaoa nilitafuta kitanda kizuri sana ndo nikaoa,huku kwetu kama huna kitanda imara hupewi mke