MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Mkuu!
Unavikumbuka vya aina hii nini?
Hii mambo mnanivunja mbavu sasa. Hivi hapa si mitaa ya Korogwe kwa Mh. profesa Maji marefu(Mb) hapa?. Bado vinatumika au hii ni archive ya kumbukumbu za mambo ya kale?