Kitambo hicho unaambiwa first half tu timu ishakula mkono

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Apr 16, 2021
334
657
Sasa hivi timu zetu zinakaza timu inafungwa Moja bila full time. Kitambo hicho unaambiwa first half tu timu ishakula mkono
Screenshot_20240302-072536~2.png
 
Kwa hiyo mnajisifu kufungwa goli Moja? kumbuka huyo mbabe wenu wa kundi alishindwa kuongoza kundi mbele yetu

IMG_20240301_220732.jpg
 
  • Nzuri
Reactions: EEX
Kipindo hicho uto inajivunia kupanda ndege tu inaposhiriki kimataifa huku akina Gormahia wakijipigia
 
Mwaka 82 Kuna timu ilipigwa goli tano misri, waliporudi Tena wakala goli 4 siku hizi wanafungwa machache wanajisifu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom