Ukubwa wa klabu ya simba Tanzania

CAPO DELGADO

JF-Expert Member
Aug 31, 2020
7,621
16,700
1)Mwaka 1977, Simba iliweka rekodi katika mechi za watani wa jadi kwa kuifunga Yanga mabao 6-0.

Zaidi ya miaka 42 rekodi hiyo haijafikiwa.
2)Mwaka 1938, Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikuwa timu ya kwanza kucheza na jezi,
Tukio hilo lilitokea ilipocheza na timu ya kombaini ya mabaharia wa meli zinazotia nanga kwenye bandari ya Dar es Salaam.

3)Mwaka 1941, (Sunderland) kwa sasa Simba SC ilikuwa timu ya kwanza nchini kuvaa viatu,
Tukio hilo lilitokea kwenye mechi rasmi ya mashindano dhidi ya timu ya jeshi la maji la mkoloni la Afrika Mashariki.

4)Mwaka 1959, kabla ya uhuru wa Tanganyika, kipindi hicho ikiitwa Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikwenda Ethiopia na ikawa timu ya kwanza kutoka nchini kupanda ndege. Simba ilikwenda kwa mwaliko wa Mfalme Haile Selassie wa Ethiopia.

5) Mwaka 1965, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania.

6) Mwaka 1968, Simba ilikuwa timu ya kwanza nchini kumiliki basi lake.

7) Mwaka 1974, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kuwa Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati.
Pia mwaka huo Simba ikawa klabu ya kwanza kutoka Tanzania kufika nusu fainali ya Klabu Bingwa ya Afrika.

8) Mwaka 1979, Simba ilikuwa klabu ya kwanza na ya pekee duniani kwenye mashindano ya mabara tofauti kufungwa nyumbani magoli 4-0 na kushinda ugenini magoli 5-0 (dhidi ya Mufulira Wanderers).

9) Mwaka 1993, Simba ilikuwa klabu pekee nchini kuwahi kufika fainali ya mashindano yanayoandaliwa na CAF (kwa sasa Kombe la Shirikisho) na kucheza fainali na klabu ya Stella Abidjan ya Ivory Coast.

10) Simba ndio klabu inayoongoza kuchukua Kombe la Afrika Mashariki na Kati mara nyingi zaidi (makombe 6).

11) Mwaka 2003, Simba ilivunja rekodi ya Zamalek ya Misri kwa kuitoa kwenye Ligi Mabingwa Afrika na kutinga hatua ya makundi.
Zamalek walikuwa mabingwa watetezi wa michuano hiyo.

12) Simba ndio klabu yenye makombe mengi ya jumla kuliko klabu yoyote Afrika Mashariki,
Ikiwa na vikombe rasmi vya kimashindano 58.
Hakuna klabu yoyote zaidi ya simba yenye mataji rasmi 58 kwenye nchi za Afrika Mashariki.

13) Kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Simba ndio klabu pekee ambayo kurasa zake zote za mitandao ya kijamii zimethibitishwa (verified),
Pia ikiongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wafuasi zaidi ya (followers) 2.5M

14. Simba ndio timu ya kwanza kuanzisha TAMASHA kubwa Tanzania Simba Day.

15. Simba ndio timu ya kwanza kucheza na VAR Tanzania.

Mfungaji mwenye MAGOLi matatunkwenye mcezo wa Simba na yanga ni Abdal KIBADENI.

Simba goli 3.
Credit MSHANA Jr
 
516F7832-290A-4C75-8A15-70817976D750.jpeg

This is simba


BA NTWA BA USM ALGER
 
1)Mwaka 1977, Simba iliweka rekodi katika mechi za watani wa jadi kwa kuifunga Yanga mabao 6-0.

Zaidi ya miaka 42 rekodi hiyo haijafikiwa.
2)Mwaka 1938, Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikuwa timu ya kwanza kucheza na jezi,
Tukio hilo lilitokea ilipocheza na timu ya kombaini ya mabaharia wa meli zinazotia nanga kwenye bandari ya Dar es Salaam.

3)Mwaka 1941, (Sunderland) kwa sasa Simba SC ilikuwa timu ya kwanza nchini kuvaa viatu,
Tukio hilo lilitokea kwenye mechi rasmi ya mashindano dhidi ya timu ya jeshi la maji la mkoloni la Afrika Mashariki.

4)Mwaka 1959, kabla ya uhuru wa Tanganyika, kipindi hicho ikiitwa Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikwenda Ethiopia na ikawa timu ya kwanza kutoka nchini kupanda ndege.
Simba ilikwenda kwa mwaliko wa Mfalme Haile Selassie wa Ethiopia.

5)Mwaka 1965, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania.

6)Mwaka 1968, Simba ilikuwa timu ya kwanza nchini kumiliki basi lake.

7)Mwaka 1974, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kuwa Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati.
Pia mwaka huo Simba ikawa klabu ya kwanza kutoka Tanzania kufika nusu fainali ya Klabu Bingwa ya Afrika.

8)Mwaka 1979, Simba ilikuwa klabu ya kwanza na ya pekee duniani kwenye mashindano ya mabara tofauti kufungwa nyumbani magoli 4-0 na kushinda ugenini magoli 5-0 (dhidi ya Mufulira Wanderers).

9)Mwaka 1993, Simba ilikuwa klabu pekee nchini kuwahi kufika fainali ya mashindano yanayoandaliwa na CAF (kwa sasa Kombe la Shirikisho) na kucheza fainali na klabu ya Stella Abidjan ya Ivory Coast.

10)Simba ndio klabu inayoongoza kuchukua Kombe la Afrika Mashariki na Kati mara nyingi zaidi (makombe 6).

11)Mwaka 2003, Simba ilivunja rekodi ya Zamalek ya Misri kwa kuitoa kwenye Ligi Mabingwa Afrika na kutinga hatua ya makundi.
Zamalek walikuwa mabingwa watetezi wa michuano hiyo.

12)Simba ndio klabu yenye makombe mengi ya jumla kuliko klabu yoyote Afrika Mashariki,
Ikiwa na vikombe rasmi vya kimashindano 58.
Hakuna klabu yoyote zaidi ya simba yenye mataji rasmi 58 kwenye nchi za Afrika Mashariki.

13)Kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Simba ndio klabu pekee ambayo kurasa zake zote za mitandao ya kijamii zimethibitishwa (verified),
Pia ikiongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wafuasi zaidi ya (followers) 2.5M

14. Simba ndio timu ya kwanza kuanzisha TAMASHA kubwa Tanzania Simba Day.

15. Simba ndio timu ya kwanza kucheza na VAR Tanzania.

Mfungaji mwenye MAGOLi matatunkwenye mcezo wa Simba na yanga ni Abdal KIBADENI.

Simba goli 3.
Credit MSHANA Jr
Bora ungetulia tu mwanangu maana unaonekana kama chokoraa
 
1)Mwaka 1977, Simba iliweka rekodi katika mechi za watani wa jadi kwa kuifunga Yanga mabao 6-0.

Zaidi ya miaka 42 rekodi hiyo haijafikiwa.
2)Mwaka 1938, Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikuwa timu ya kwanza kucheza na jezi,
Tukio hilo lilitokea ilipocheza na timu ya kombaini ya mabaharia wa meli zinazotia nanga kwenye bandari ya Dar es Salaam.

3)Mwaka 1941, (Sunderland) kwa sasa Simba SC ilikuwa timu ya kwanza nchini kuvaa viatu,
Tukio hilo lilitokea kwenye mechi rasmi ya mashindano dhidi ya timu ya jeshi la maji la mkoloni la Afrika Mashariki.

4)Mwaka 1959, kabla ya uhuru wa Tanganyika, kipindi hicho ikiitwa Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikwenda Ethiopia na ikawa timu ya kwanza kutoka nchini kupanda ndege.
Simba ilikwenda kwa mwaliko wa Mfalme Haile Selassie wa Ethiopia.

5)Mwaka 1965, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania.

6)Mwaka 1968, Simba ilikuwa timu ya kwanza nchini kumiliki basi lake.

7)Mwaka 1974, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kuwa Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati.
Pia mwaka huo Simba ikawa klabu ya kwanza kutoka Tanzania kufika nusu fainali ya Klabu Bingwa ya Afrika.

8)Mwaka 1979, Simba ilikuwa klabu ya kwanza na ya pekee duniani kwenye mashindano ya mabara tofauti kufungwa nyumbani magoli 4-0 na kushinda ugenini magoli 5-0 (dhidi ya Mufulira Wanderers).

9)Mwaka 1993, Simba ilikuwa klabu pekee nchini kuwahi kufika fainali ya mashindano yanayoandaliwa na CAF (kwa sasa Kombe la Shirikisho) na kucheza fainali na klabu ya Stella Abidjan ya Ivory Coast.

10)Simba ndio klabu inayoongoza kuchukua Kombe la Afrika Mashariki na Kati mara nyingi zaidi (makombe 6).

11)Mwaka 2003, Simba ilivunja rekodi ya Zamalek ya Misri kwa kuitoa kwenye Ligi Mabingwa Afrika na kutinga hatua ya makundi.
Zamalek walikuwa mabingwa watetezi wa michuano hiyo.

12)Simba ndio klabu yenye makombe mengi ya jumla kuliko klabu yoyote Afrika Mashariki,
Ikiwa na vikombe rasmi vya kimashindano 58.
Hakuna klabu yoyote zaidi ya simba yenye mataji rasmi 58 kwenye nchi za Afrika Mashariki.

13)Kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Simba ndio klabu pekee ambayo kurasa zake zote za mitandao ya kijamii zimethibitishwa (verified),
Pia ikiongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wafuasi zaidi ya (followers) 2.5M

14. Simba ndio timu ya kwanza kuanzisha TAMASHA kubwa Tanzania Simba Day.

15. Simba ndio timu ya kwanza kucheza na VAR Tanzania.

Mfungaji mwenye MAGOLi matatunkwenye mcezo wa Simba na yanga ni Abdal KIBADENI.

Simba goli 3.
Credit MSHANA Jr
Ndio furaha iliyobaki hiyo kama ya Uto enzi zile ya "MABINGWA WA KIHISTORIA"
 
1)Mwaka 1977, Simba iliweka rekodi katika mechi za watani wa jadi kwa kuifunga Yanga mabao 6-0.

Zaidi ya miaka 42 rekodi hiyo haijafikiwa.
2)Mwaka 1938, Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikuwa timu ya kwanza kucheza na jezi,
Tukio hilo lilitokea ilipocheza na timu ya kombaini ya mabaharia wa meli zinazotia nanga kwenye bandari ya Dar es Salaam.

3)Mwaka 1941, (Sunderland) kwa sasa Simba SC ilikuwa timu ya kwanza nchini kuvaa viatu,
Tukio hilo lilitokea kwenye mechi rasmi ya mashindano dhidi ya timu ya jeshi la maji la mkoloni la Afrika Mashariki.

4)Mwaka 1959, kabla ya uhuru wa Tanganyika, kipindi hicho ikiitwa Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikwenda Ethiopia na ikawa timu ya kwanza kutoka nchini kupanda ndege.
Simba ilikwenda kwa mwaliko wa Mfalme Haile Selassie wa Ethiopia.

5)Mwaka 1965, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania.

6)Mwaka 1968, Simba ilikuwa timu ya kwanza nchini kumiliki basi lake.

7)Mwaka 1974, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kuwa Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati.
Pia mwaka huo Simba ikawa klabu ya kwanza kutoka Tanzania kufika nusu fainali ya Klabu Bingwa ya Afrika.

8)Mwaka 1979, Simba ilikuwa klabu ya kwanza na ya pekee duniani kwenye mashindano ya mabara tofauti kufungwa nyumbani magoli 4-0 na kushinda ugenini magoli 5-0 (dhidi ya Mufulira Wanderers).

9)Mwaka 1993, Simba ilikuwa klabu pekee nchini kuwahi kufika fainali ya mashindano yanayoandaliwa na CAF (kwa sasa Kombe la Shirikisho) na kucheza fainali na klabu ya Stella Abidjan ya Ivory Coast.

10)Simba ndio klabu inayoongoza kuchukua Kombe la Afrika Mashariki na Kati mara nyingi zaidi (makombe 6).

11)Mwaka 2003, Simba ilivunja rekodi ya Zamalek ya Misri kwa kuitoa kwenye Ligi Mabingwa Afrika na kutinga hatua ya makundi.
Zamalek walikuwa mabingwa watetezi wa michuano hiyo.

12)Simba ndio klabu yenye makombe mengi ya jumla kuliko klabu yoyote Afrika Mashariki,
Ikiwa na vikombe rasmi vya kimashindano 58.
Hakuna klabu yoyote zaidi ya simba yenye mataji rasmi 58 kwenye nchi za Afrika Mashariki.

13)Kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Simba ndio klabu pekee ambayo kurasa zake zote za mitandao ya kijamii zimethibitishwa (verified),
Pia ikiongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wafuasi zaidi ya (followers) 2.5M

14. Simba ndio timu ya kwanza kuanzisha TAMASHA kubwa Tanzania Simba Day.

15. Simba ndio timu ya kwanza kucheza na VAR Tanzania.

Mfungaji mwenye MAGOLi matatunkwenye mcezo wa Simba na yanga ni Abdal KIBADENI.

Simba goli 3.
Credit MSHANA Jr
Eti, UKUBWA WA CLABU...
Daaah, hatari sana
 
1)Mwaka 1977, Simba iliweka rekodi katika mechi za watani wa jadi kwa kuifunga Yanga mabao 6-0.

Zaidi ya miaka 42 rekodi hiyo haijafikiwa.
2)Mwaka 1938, Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikuwa timu ya kwanza kucheza na jezi,
Tukio hilo lilitokea ilipocheza na timu ya kombaini ya mabaharia wa meli zinazotia nanga kwenye bandari ya Dar es Salaam.

3)Mwaka 1941, (Sunderland) kwa sasa Simba SC ilikuwa timu ya kwanza nchini kuvaa viatu,
Tukio hilo lilitokea kwenye mechi rasmi ya mashindano dhidi ya timu ya jeshi la maji la mkoloni la Afrika Mashariki.

4)Mwaka 1959, kabla ya uhuru wa Tanganyika, kipindi hicho ikiitwa Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikwenda Ethiopia na ikawa timu ya kwanza kutoka nchini kupanda ndege.
Simba ilikwenda kwa mwaliko wa Mfalme Haile Selassie wa Ethiopia.

5)Mwaka 1965, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania.

6)Mwaka 1968, Simba ilikuwa timu ya kwanza nchini kumiliki basi lake.

7)Mwaka 1974, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kuwa Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati.
Pia mwaka huo Simba ikawa klabu ya kwanza kutoka Tanzania kufika nusu fainali ya Klabu Bingwa ya Afrika.

8)Mwaka 1979, Simba ilikuwa klabu ya kwanza na ya pekee duniani kwenye mashindano ya mabara tofauti kufungwa nyumbani magoli 4-0 na kushinda ugenini magoli 5-0 (dhidi ya Mufulira Wanderers).

9)Mwaka 1993, Simba ilikuwa klabu pekee nchini kuwahi kufika fainali ya mashindano yanayoandaliwa na CAF (kwa sasa Kombe la Shirikisho) na kucheza fainali na klabu ya Stella Abidjan ya Ivory Coast.

10)Simba ndio klabu inayoongoza kuchukua Kombe la Afrika Mashariki na Kati mara nyingi zaidi (makombe 6).

11)Mwaka 2003, Simba ilivunja rekodi ya Zamalek ya Misri kwa kuitoa kwenye Ligi Mabingwa Afrika na kutinga hatua ya makundi.
Zamalek walikuwa mabingwa watetezi wa michuano hiyo.

12)Simba ndio klabu yenye makombe mengi ya jumla kuliko klabu yoyote Afrika Mashariki,
Ikiwa na vikombe rasmi vya kimashindano 58.
Hakuna klabu yoyote zaidi ya simba yenye mataji rasmi 58 kwenye nchi za Afrika Mashariki.

13)Kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Simba ndio klabu pekee ambayo kurasa zake zote za mitandao ya kijamii zimethibitishwa (verified),
Pia ikiongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wafuasi zaidi ya (followers) 2.5M

14. Simba ndio timu ya kwanza kuanzisha TAMASHA kubwa Tanzania Simba Day.

15. Simba ndio timu ya kwanza kucheza na VAR Tanzania.

Mfungaji mwenye MAGOLi matatunkwenye mcezo wa Simba na yanga ni Abdal KIBADENI.

Simba goli 3.
Credit MSHANA Jr
Umesahau haya:
1. Simba ni timu ya kwanza Tanzania kuweka mpira kwapani wakati wa mechi na yanga

2. Simba ni timu ya kwanza Tanzania kufanya ulozi hadharani south Africa

3.simba ni timu ya kwanza Tanzania kuajiri mcheza samba kama kocha.

4.simba ni timu ya kwanza Tanzania kuuza hisa 49/100 za kilabu kwa 20bn hewa
 
Hiyo source yako imekudanganya, bingwa wa Africa cup winner's cup mwaka 1993 alikuwa ni Al Ahly. Na wala sio Stella. Hao Stella walikuwa ni bingwa wa CAF cup
Aahaaaaa

Halafu Kila siku anaikwepa hiyo sehemu,huwezi kuta amespecify ni kombe lipi la CAF
 
1)Mwaka 1977, Simba iliweka rekodi katika mechi za watani wa jadi kwa kuifunga Yanga mabao 6-0.

Zaidi ya miaka 42 rekodi hiyo haijafikiwa.
2)Mwaka 1938, Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikuwa timu ya kwanza kucheza na jezi,
Tukio hilo lilitokea ilipocheza na timu ya kombaini ya mabaharia wa meli zinazotia nanga kwenye bandari ya Dar es Salaam.

3)Mwaka 1941, (Sunderland) kwa sasa Simba SC ilikuwa timu ya kwanza nchini kuvaa viatu,
Tukio hilo lilitokea kwenye mechi rasmi ya mashindano dhidi ya timu ya jeshi la maji la mkoloni la Afrika Mashariki.

4)Mwaka 1959, kabla ya uhuru wa Tanganyika, kipindi hicho ikiitwa Sunderland (kwa sasa Simba SC) ilikwenda Ethiopia na ikawa timu ya kwanza kutoka nchini kupanda ndege.
Simba ilikwenda kwa mwaliko wa Mfalme Haile Selassie wa Ethiopia.

5)Mwaka 1965, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania.

6)Mwaka 1968, Simba ilikuwa timu ya kwanza nchini kumiliki basi lake.

7)Mwaka 1974, Simba ilikuwa klabu ya kwanza kuwa Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati.
Pia mwaka huo Simba ikawa klabu ya kwanza kutoka Tanzania kufika nusu fainali ya Klabu Bingwa ya Afrika.

8)Mwaka 1979, Simba ilikuwa klabu ya kwanza na ya pekee duniani kwenye mashindano ya mabara tofauti kufungwa nyumbani magoli 4-0 na kushinda ugenini magoli 5-0 (dhidi ya Mufulira Wanderers).

9)Mwaka 1993, Simba ilikuwa klabu pekee nchini kuwahi kufika fainali ya mashindano yanayoandaliwa na CAF (kwa sasa Kombe la Shirikisho) na kucheza fainali na klabu ya Stella Abidjan ya Ivory Coast.

10)Simba ndio klabu inayoongoza kuchukua Kombe la Afrika Mashariki na Kati mara nyingi zaidi (makombe 6).

11)Mwaka 2003, Simba ilivunja rekodi ya Zamalek ya Misri kwa kuitoa kwenye Ligi Mabingwa Afrika na kutinga hatua ya makundi.
Zamalek walikuwa mabingwa watetezi wa michuano hiyo.

12)Simba ndio klabu yenye makombe mengi ya jumla kuliko klabu yoyote Afrika Mashariki,
Ikiwa na vikombe rasmi vya kimashindano 58.
Hakuna klabu yoyote zaidi ya simba yenye mataji rasmi 58 kwenye nchi za Afrika Mashariki.

13)Kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Simba ndio klabu pekee ambayo kurasa zake zote za mitandao ya kijamii zimethibitishwa (verified),
Pia ikiongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wafuasi zaidi ya (followers) 2.5M

14. Simba ndio timu ya kwanza kuanzisha TAMASHA kubwa Tanzania Simba Day.

15. Simba ndio timu ya kwanza kucheza na VAR Tanzania.

Mfungaji mwenye MAGOLi matatunkwenye mcezo wa Simba na yanga ni Abdal KIBADENI.

Simba goli 3.
Credit MSHANA Jr
Kuna hii moja umeisahau ya juzi mgeni alipokula kifurushi cha wiki
 
Back
Top Bottom