Kitambi ni heshma kwa Tz?

Kuna mazoezi ya kulala chali huku umenyooka mwili wote hata kwenye carpet. Wakati umelala chali mikono umeinyoosha kuelekea miguuni, unainyanyua juu miguu yote miwili kwa wakati mmoja huku ikiwa imenyooka halafu mkao wako unakuwa kama herufi ya L, halafu huku umelibana tumbo unairudisha miguu chini taratibu hadi kwenye carpet. Halafu unarudia tena hivyo hata mara 10 au zaidi kutokana na pumzi yako. Ukiweza kufanya hivi mara mbili kwa siku asubuhi na jioni utaona tumbo linaanza kupotea taratibu. Siku utakayoanza kesho yake utaisikia misuli ya tumbo inauma, usipumzike ingia mtamboni tu. Baada ya mwezi utasuuzika roho yako na matokeo lakini pia inabidi ubadilishe life style hasa kwenye makulaji na mvinyo kama unakamata. Kila la heri
 
kitu kinaweza kuwa deal sana mtaani...but self perception matters and you should produce something of balance between its advantages and disadvantages. If disadv outweighs adv then why should entertain it!
fanya mazoezi na kuwa mwangalifu na vyakula unavyokula, achana na vyakula vyenye wanga na mafuta,kwafano usiku unaweza kula matunda pekeyake
 
habari zenu g.t!
Ninasumbuliwa na kitambi, nimejaribu kuulizia namna ya kukitoa, kuna watu wameniambia kuwa kitambi bongo ni dili, kinaleta heshima, na pia kitambi ni dhamana, popote unapoenda unaaminiwa.ama kweli bongo noma. Sasa tukiachana na issue hizo. Kuna yoyote hapa jf anaweza kunielimisha njia nzuri ya kutoa kitambi!!


kitambi ni dili kwa mazuzu magic..
Kwa wenye ufahamu ni uchafu
 
Habari zenu G.T!
ninasumbuliwa na kitambi, nimejaribu kuulizia namna ya kukitoa, kuna watu wameniambia kuwa kitambi bongo ni dili, kinaleta heshima, na pia kitambi ni dhamana, popote unapoenda unaaminiwa.ama kweli bongo noma. Sasa tukiachana na issue hizo. kuna yoyote hapa jf anaweza kunielimisha njia nzuri ya kutoa kitambi!!
kwa nini unafikiria njia za kuondoa kitambi wakati umeshaambiwa kitambi ni heshima...unaweza hata kukopa kirahisi kakma huna hela munaaminikank..inamaana haya huyapendi?
hupendi heshima?
huopendi kuaminiwa?
hupendi kuwa dili?
chagua kusuka au kunyoa.................
 
hii poa sana bubu..............
ngoja nami nijaribu
Kuna mazoezi ya kulala chali huku umenyooka mwili wote hata kwenye carpet. Wakati umelala chali mikono umeinyoosha kuelekea miguuni, unainyanyua juu miguu yote miwili kwa wakati mmoja huku ikiwa imenyooka halafu mkao wako unakuwa kama herufi ya L, halafu huku umelibana tumbo unairudisha miguu chini taratibu hadi kwenye carpet. Halafu unarudia tena hivyo hata mara 10 au zaidi kutokana na pumzi yako. Ukiweza kufanya hivi mara mbili kwa siku asubuhi na jioni utaona tumbo linaanza kupotea taratibu. Siku utakayoanza kesho yake utaisikia misuli ya tumbo inauma, usipumzike ingia mtamboni tu. Baada ya mwezi utasuuzika roho yako na matokeo lakini pia inabidi ubadilishe life style hasa kwenye makulaji na mvinyo kama unakamata. Kila la heri
 
Habari zenu G.T!
ninasumbuliwa na kitambi, nimejaribu kuulizia namna ya kukitoa, kuna watu wameniambia kuwa kitambi bongo ni dili, kinaleta heshima, na pia kitambi ni dhamana, popote unapoenda unaaminiwa.ama kweli bongo noma. Sasa tukiachana na issue hizo. kuna yoyote hapa jf anaweza kunielimisha njia nzuri ya kutoa kitambi!!


Mkuu hebu soma mwenyewe hapo chini halafu umue!

Obesity is a medical condition in which excess body fat has accumulated to the extent that it may have an adverse effect on health, leading to reduced life expectancy and/or increased health problems.[1][2] Body mass index (BMI), a measurement which compares weight and height, defines people as overweight (pre-obese) when their BMI is between 25 kg/m2 and 30 kg/m2, and obese when it is greater than 30 kg/m2.[3]
Obesity increases the likelihood of various diseases, particularly heart disease, type 2 diabetes, breathing difficulties during sleep, certain types of cancer, and osteoarthritis. Obesity is most commonly caused by a combination of excessive dietary calories, lack of physical activity, and genetic susceptibility, although a few cases are caused solely by genes, endocrine disorders, medications or psychiatric illness.

Kama unapenda, waweza jaribu haya yafuatayo.



The primary treatment for obesity is dieting and physical exercise. To supplement this, or in case of failure, anti-obesity drugs may be taken to reduce appetite or inhibit fat absorption. In severe cases, surgery is performed or an intragastric balloon is placed to reduce stomach volume and/or bowel length, leading to earlier satiation and reduced ability to absorb nutrients from food.
Source: [ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Obesity[/ame]
 
Kuna mazoezi ya kulala chali huku umenyooka mwili wote hata kwenye carpet. Wakati umelala chali mikono umeinyoosha kuelekea miguuni, unainyanyua juu miguu yote miwili kwa wakati mmoja huku ikiwa imenyooka halafu mkao wako unakuwa kama herufi ya L, halafu huku umelibana tumbo unairudisha miguu chini taratibu hadi kwenye carpet. Halafu unarudia tena hivyo hata mara 10 au zaidi kutokana na pumzi yako. Ukiweza kufanya hivi mara mbili kwa siku asubuhi na jioni utaona tumbo linaanza kupotea taratibu. Siku utakayoanza kesho yake utaisikia misuli ya tumbo inauma, usipumzike ingia mtamboni tu. Baada ya mwezi utasuuzika roho yako na matokeo lakini pia inabidi ubadilishe life style hasa kwenye makulaji na mvinyo kama unakamata. Kila la heri

Huu ni ushauri wa kitaalamu au zoezi hili uliona likifanyika na wewe ndio ukatoa ushauri?? Unajua kuna mazoezi ya kukata tumbo kuna yakukaza tumbo/six packs, kuna ya kutoa tumbo la juu la kati na chini, sasa kwa hilo zoezi ulilotaja hapo liko kwenye kategori gani??
 
Huu ni ushauri wa kitaalamu au zoezi hili uliona likifanyika na wewe ndio ukatoa ushauri?? Unajua kuna mazoezi ya kukata tumbo kuna yakukaza tumbo/six packs, kuna ya kutoa tumbo la juu la kati na chini, sasa kwa hilo zoezi ulilotaja hapo liko kwenye kategori gani??
mzee wa jimu watakutaka ubaya!!
 
Hata ukiangalia kipindi cha ITV asubuhi wanakosea sana na kuliko ukosee kufanya zoezi katika right way/position bora usifanye kbsa. Madhara yake ni makubwa sana.
aaahh, sure mkuu!.
mazoezi yanataka maelekezo sahihi, unaweza kushangaa unataka kujazia mkono ghafla ukajazia t.ako!!.
sasa mkuu unaonaje ukatuanzishia thead kule kwenye mambo ya Afya (JF Doctor) uli tuweze kufaidika na kurekebisha afya zetu???
 
aaahh, sure mkuu!.
mazoezi yanataka maelekezo sahihi, unaweza kushangaa unataka kujazia mkono ghafla ukajazia t.ako!!.
sasa mkuu unaonaje ukatuanzishia thead kule kwenye mambo ya Afya (JF Doctor) uli tuweze kufaidika na kurekebisha afya zetu???

Bora hata ujaze makalio kuliko kupata matatizo ya mgongo maumivu yake ni makali sana na kipimo 1 tu kwa tanzania ni sh. laki 6 matibabu ni mpaka india, au moyo kuwa mkubwa,

Kuhusu kuanziasha thread kule ngoja nikusanye matirio nifanye hivyo na nitaweka mpaka vedeo clips ambazo mtaweza kuzichukua kwa ajili ya personal training. Mazoezi yanataka moyo.
 
Kuhusu kuanziasha thread kule ngoja nikusanye matirio nifanye hivyo na nitaweka mpaka vedeo clips ambazo mtaweza kuzichukua kwa ajili ya personal training. Mazoezi yanataka moyo.
lakini twende taratibu,
mazoezi ya 6 Pack Abs nikikomaa nayo itakuja baada ya kama miezi mingapi?
 
lakini twende taratibu,
mazoezi ya 6 Pack Abs nikikomaa nayo itakuja baada ya kama miezi mingapi?

Hili linategemea na tumbo la mtu kama huna excess fat kbs itakuchukua three months na kama una mafuta kidogo itakuchukuwa miezi 6.
 
lakini twende taratibu,
mazoezi ya 6 Pack Abs nikikomaa nayo itakuja baada ya kama miezi mingapi?

wengine huwa wanafanya sana mazoezi ya tumbo, lakini wanasahau mazoezi ya mwili mzima na maswala ya vyakula yaani calories wanazoingiza mwilini zinakuwa nyingi kuliko wanazospend, matokeo huko ndani misuli ina kaza hadi kunakuwa na six pack lakini hazionekani kwa sababu zimefunikwa na matabaka kadhaa ya mafuta aka kitambi! au sio Nguli?
 
Back
Top Bottom